Bado pia walitumia Silaha mchanganyiko magobole mishale mikuki marungu shoka Uchawi na sumu mbali mbali ila wengi hawakubeba ngao kwasababu ngao inapunguza nguvu za dawa ya Hongo lakini Wanguni ni wabishi walibeba ngao. Pia waliambiwa masharti ya Dawa wakisikia paa!! Waseme MAJI!! Huku wakisonga Mbele huku Gatlin Gun zikimwaga risasi kama Mvua.Majimaji walitumia silaha zipi? Ninachojua walitumia yale maji waliyopewa na kinjeketile ngwale wakafagiliwa wote.
Sio kweli kuhusu kupiga kelele mda wa vita we nahisi umeharibika kifikra labda kwasababu ya filamu unazotazama. Vita ina mbinu zake.View attachment 1036007
Kuanzia MauMau hadi MajiMaji Revolt pamoja na AngloZulu War Sudan MahdiWars hii Bunduki ilifanya mauwaji Ukizingatia Mababu zetu walikuwa wakitumia Mikuki na Ngao za Ngozi za Wanyama.
Hata hivyo ile Vita ya Hit and Run iliwasumbua sana Wakoloni
Shida nyingine Waafrika tungeweza kupigana Usiku ila Shida yetu ni Battle cry ni lazima tupige makelele wakati wa vita.
Battle cry imewaganda baadhi ya makabila wahehe kwa mfano walikuwa wakicharge walikuwa wakisema he!he!he!he! Wakaitwa wa hehe na ni njia mmoja ya kumtisha adui yako kisaikolojia Wazulu pia wana Battle Cry yao...sijaharibika kifikra unaweza kuniambia huku ukinitolea mifano kuliko kuwa mchokozi.Sio kweli kuhusu kupiga kelele mda wa vita we nahisi umeharibika kifikra labda kwasababu ya filamu unazotazama. Vita ina mbinu zake.
Sent using Jamii Forums mobile app