Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

hash= harsh .. hapana ndugu yangu mimi sipo harsh ni kijana mpole sana na mwenye nidhamu ya hali ya juu sana. kiukweli kwa mademu nliowah kuwa nao wengi hunisifia hilo kuwa ni mpole na mnyekekevu sana hasa ninapotaka tendo la ndo ndo huzidi kuwa mnyenyekevu. mengi ana umri gani? kaoa mwanamke wa umri gani? unadhani hakuona wazee wenzie? kuna ofaut kubwa sana ya kiumri kati ya mwanamke na mwanaume. binafsi nahitaji kuoa mwanamke ambaye nimemzidi miaka 15.si pungufu.
Gudume naona kama uko so hash...ww mwenyewe mzee...mbona hujaoa mapema??..Na kwa umri wako kama unataka kuoa under 30 ni ubabe tu
 
huna point yoyote kila mtu ana maamuzi yake binafsi kuhusiana na jambo flan. mimi nimekataa sioi mwanamke wa miaka 33 you cant convince me in any how. thats my decision. miaka 33 tayari ushakuwa jioni mama why nikuoe wakat umri wako umeenda hivyo? kuna ambao wanaweza kukuoa BUT AIN'T ME BABY. wewe subiria wazee wenzio na kama umekasirika pole sana ni mambo madogo hayo.so ningekuwa tayari kukuoa kwa huo umri ndo ningeonekana mtu mzima? wakati unaaacha goli wazi watu wajishindie tu ulidhani nini leo imefika fainali ndo unataka kuniangushia mimi ubingwa? ukizalishwa nyumbani nawe una matatizo kwa nini hubani miguu yako mpaka wakati wa ndoa? si usubiri uoelewe ndo uanze kutanua miguu?
 
[emoji23] [emoji23]
 
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
 
NILIKUA CJAMGUNDUA ATAKUA NA UDATA POST YAKO AMEANDIKA KISHUTUMA ZAIDI WALA HAJAWASILISHA HISIA ZA WENGI
 
umechafukwa hasa mama... subiri utapata wa kukuoa tu wala hamna haja ya kutokwa na vitu vyoooote hivyo kila sehemu.. relax mama. sawa eehhh? relax. haya yanapita tu.

we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
 
Juzi kati apa kitaa kaolewa bibi kabisa itakua uyo sema wewe sio muoaji
 
umechafukwa hasa mama... subiri utapata wa kukuoa tu wala hamna haja ya kutokwa na vitu vyoooote hivyo kila sehemu.. relax mama. sawa eehhh? relax. haya yanapita tu.
View attachment 631131
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
 
Kuoa mwanamke mkubwa nacho kipaji mimi sina ninacho cha kula papuchi na kusepa
 
Ahaaa Mzee kijanaaaaa under 18. Hongera
 
Wewe hautaki leta namba zake kisha nikupe namba wa huyu miaka ishirini na minne, mkenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…