Gudume naona kama uko so hash...ww mwenyewe mzee...mbona hujaoa mapema??..Na kwa umri wako kama unataka kuoa under 30 ni ubabe tu
Hao wanaowazalisha na kuwatelekeza manyumbani ni kuku, bata ama?
Kinachotakiwa ni wanaume ambao wanajielewa. Na sio vivulana kama wewe at 40 bado unaendelea ku experience sex na kabisa unakubali una akili ya kitoto. Do you think your age automatically points you out as mature?
Anyway, its my bad. Ningeshaona hapo juu unakiri kuwa na akili ya kitoto na mambo ya kitoto basi singejisumbua ku comment.
Ndio umri ushakwenda sasa afanyeje, kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hata kama kafikisha zaidi ya 30 akipata wa kumuoa anaolewa.
Wacha kukatisha watu tamaa bana. Pia nikwambie mkuu sio kila mwanamke mwenye umri mkubwa kwamba katumika sana na kwamba hafai kwa ndoa nalikataa hilo gudume.
Mmh. Nini tena swahiba? [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23]
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......Mcha Mungu ila alikuwa havutii kuwa mke mwema. Mbona wapo sana tu. 35? Yeaaah wapo wanakutana na wa aina yao. Mbona kawaida lakini binafsi sioi above 28 sioi hata kama kabak peke yake dunia nzima.dada yako alichagua chagua sasa amefikia hatua akachaguliwa yeye.... Ujanani alikuwa wapi?
Si kwa povu lile[emoji1]Mmh. Nini tena swahiba? [emoji23] [emoji23] [emoji23]
NILIKUA CJAMGUNDUA ATAKUA NA UDATA POST YAKO AMEANDIKA KISHUTUMA ZAIDI WALA HAJAWASILISHA HISIA ZA WENGIOver 40?????? Kumbe na wewe ni over used. Wewe huna tofauti na hao unaowasema wamemla huyo mdada, na wewe huna jipya gudume.
Nawaza uko over 40
1.hujaoa ujana ulikula na nani?
2, ukute ndo hivyo tena kibamia Maneno tuu.
Wewe ni wa kuombea kama magu anavyodai
Duuh. Jamaani sio povu bana. Nimemwambia tu ukweli. Hahahahaaaa.Si kwa povu lile[emoji1]
HahahahaaDuuh. Jamaani sio povu bana. Nimemwambia tu ukweli. Hahahahaaaa.
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
Ahaaa Mzee kijanaaaaa under 18. Hongeraluckyline mbona jana tu nmetoka kusema kuwa mimi ni kibamia? Wala siyo siri. Na ndo maana nataka mtoto mdogo. Mambo ya kuambiwa niingize mguu mi siyawezi... Na ukome kunitangaza eti mimi mzee... Mi bado nadai kabisa tena miaka 100 mbele nipo fit karikit
umenenaMbona hta wewe umetumika sana?40years??labda uwe tajiri ila vinginevyo wewe hufai. Swali. Je kwanini wewe umekaa mda mrefu hivyo hujaoa??wewe co muoaji......
Ame maanisha mapovu hayo vip,umeelewa ...Mmh. Nini tena swahiba? [emoji23] [emoji23] [emoji23]