Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

hash= harsh .. hapana ndugu yangu mimi sipo harsh ni kijana mpole sana na mwenye nidhamu ya hali ya juu sana. kiukweli kwa mademu nliowah kuwa nao wengi hunisifia hilo kuwa ni mpole na mnyekekevu sana hasa ninapotaka tendo la ndo ndo huzidi kuwa mnyenyekevu. mengi ana umri gani? kaoa mwanamke wa umri gani? unadhani hakuona wazee wenzie? kuna ofaut kubwa sana ya kiumri kati ya mwanamke na mwanaume. binafsi nahitaji kuoa mwanamke ambaye nimemzidi miaka 15.si pungufu.
Gudume naona kama uko so hash...ww mwenyewe mzee...mbona hujaoa mapema??..Na kwa umri wako kama unataka kuoa under 30 ni ubabe tu
 
huna point yoyote kila mtu ana maamuzi yake binafsi kuhusiana na jambo flan. mimi nimekataa sioi mwanamke wa miaka 33 you cant convince me in any how. thats my decision. miaka 33 tayari ushakuwa jioni mama why nikuoe wakat umri wako umeenda hivyo? kuna ambao wanaweza kukuoa BUT AIN'T ME BABY. wewe subiria wazee wenzio na kama umekasirika pole sana ni mambo madogo hayo.so ningekuwa tayari kukuoa kwa huo umri ndo ningeonekana mtu mzima? wakati unaaacha goli wazi watu wajishindie tu ulidhani nini leo imefika fainali ndo unataka kuniangushia mimi ubingwa? ukizalishwa nyumbani nawe una matatizo kwa nini hubani miguu yako mpaka wakati wa ndoa? si usubiri uoelewe ndo uanze kutanua miguu?
Hao wanaowazalisha na kuwatelekeza manyumbani ni kuku, bata ama?

Kinachotakiwa ni wanaume ambao wanajielewa. Na sio vivulana kama wewe at 40 bado unaendelea ku experience sex na kabisa unakubali una akili ya kitoto. Do you think your age automatically points you out as mature?

Anyway, its my bad. Ningeshaona hapo juu unakiri kuwa na akili ya kitoto na mambo ya kitoto basi singejisumbua ku comment.
 
Ndio umri ushakwenda sasa afanyeje, kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hata kama kafikisha zaidi ya 30 akipata wa kumuoa anaolewa.

Wacha kukatisha watu tamaa bana. Pia nikwambie mkuu sio kila mwanamke mwenye umri mkubwa kwamba katumika sana na kwamba hafai kwa ndoa nalikataa hilo gudume.
54097dcb68ef65a8ca46135362cbc40c.jpg
[emoji23] [emoji23]
 
Mcha Mungu ila alikuwa havutii kuwa mke mwema. Mbona wapo sana tu. 35? Yeaaah wapo wanakutana na wa aina yao. Mbona kawaida lakini binafsi sioi above 28 sioi hata kama kabak peke yake dunia nzima.dada yako alichagua chagua sasa amefikia hatua akachaguliwa yeye.... Ujanani alikuwa wapi?
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
 
Over 40?????? Kumbe na wewe ni over used. Wewe huna tofauti na hao unaowasema wamemla huyo mdada, na wewe huna jipya gudume.

Nawaza uko over 40

1.hujaoa ujana ulikula na nani?
2, ukute ndo hivyo tena kibamia Maneno tuu.

Wewe ni wa kuombea kama magu anavyodai
NILIKUA CJAMGUNDUA ATAKUA NA UDATA POST YAKO AMEANDIKA KISHUTUMA ZAIDI WALA HAJAWASILISHA HISIA ZA WENGI
 
umechafukwa hasa mama... subiri utapata wa kukuoa tu wala hamna haja ya kutokwa na vitu vyoooote hivyo kila sehemu.. relax mama. sawa eehhh? relax. haya yanapita tu.
54097dcb68ef65a8ca46135362cbc40c.jpg

we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
 
Juzi kati apa kitaa kaolewa bibi kabisa itakua uyo sema wewe sio muoaji
 
umechafukwa hasa mama... subiri utapata wa kukuoa tu wala hamna haja ya kutokwa na vitu vyoooote hivyo kila sehemu.. relax mama. sawa eehhh? relax. haya yanapita tu.
View attachment 631131
we unaongea UTOTO KUMBE MARA KWANZA nilidhan umewakilisha MADA sa hvi nmegundua unaongea utoto ni kama UPUPU......
 
Kuoa mwanamke mkubwa nacho kipaji mimi sina ninacho cha kula papuchi na kusepa
 
luckyline mbona jana tu nmetoka kusema kuwa mimi ni kibamia? Wala siyo siri. Na ndo maana nataka mtoto mdogo. Mambo ya kuambiwa niingize mguu mi siyawezi... Na ukome kunitangaza eti mimi mzee... Mi bado nadai kabisa tena miaka 100 mbele nipo fit karikit
Ahaaa Mzee kijanaaaaa under 18. Hongera
 
Wewe hautaki leta namba zake kisha nikupe namba wa huyu miaka ishirini na minne, mkenya
 
Back
Top Bottom