Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Acha masihara kiongoziKocha anashangaza kutompa Kagere nafasi ya kucheza kama leo mi naamini Kagere angeweza kufanya kitu , hakosagi goal 3 per game
Nimedit , nilimaanisha three clear chances hawezi kosa kuweka kambaniAcha masihara kiongozi
Kagere kaisha sana, nadhani umri pia... Kuanzia kwa Sven hadi Gomes hapangwi...
Bocco, Mugalu na Kagere kwasasa hawana hadhi ya kuichezea Simba..
Yes, magolikipa watano wa nini wakati shida ni strikersyaani inaboa mnoKabisa mkuu...
Waangalie Yanga, wana washambuliaji wa kueleweka kidogo.. Yacouba, Mayele na Makambo...
Kwa kosa gani sasa na mtu anawafungia Magori ?Simba ni kubwa kuliko kagere
Yacouba mtoe hana kitu ni mzigo tuKabisa mkuu...
Waangalie Yanga, wana washambuliaji wa kueleweka kidogo.. Yacouba, Mayele na Makambo...
Leo nimejiridhisha kwamba kumbe hakuna striker pale Simba kama Kagere , ni vema kocha wa simba akalijua hilo , kunyoa kiduku kwa Mugalu au kufuga mcheche kwa Boko kusimdanganye kocha .
Simba tunataka ushindi tu .
Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye chai - JK NYERERE
hivi Mugalu ndio wa kumweka benchi Kagere ?Si kweli kabisa.
Hata Kagere ana matatizo makubwa kuliko Mugalu.Usidhani ni rahisi kutengeneza nafasi tu na kufunga.Unahitaji wachezaji wenye fighting spirit,wanaojielewa.
Naam naamLeo nimejiridhisha kwamba kumbe hakuna striker pale Simba kama Kagere , ni vema kocha wa simba akalijua hilo , kunyoa kiduku kwa Mugalu au kufuga mcheche kwa Boko kusimdanganye kocha .
Simba tunataka ushindi tu .
Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye chai - JK NYERERE