Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Leo nimejiridhisha kwamba kumbe hakuna striker pale Simba kama Kagere , ni vema kocha wa simba akalijua hilo , kunyoa kiduku kwa Mugalu au kufuga mcheche kwa Boko kusimdanganye kocha .
Simba tunataka ushindi tu .
Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye chai - JK NYERERE
View attachment 1959749
Simba tunataka ushindi tu .
Kama unampenda mtu kwa sababu ya sura yake basi nenda kanywe naye chai - JK NYERERE
View attachment 1959749