Bila kodi, mikopo wala tozo Serikali kutekeleza miradi ya Tsh 25T

Bila kodi, mikopo wala tozo Serikali kutekeleza miradi ya Tsh 25T

View attachment 3154692
View attachment 3154691

Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,

Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.

Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana​
===
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).

Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.

Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.

“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.

“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”

Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.

This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.

The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37 billion.

Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.

Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.

#TheCitizenUpdates
Nchi kama Norway imeweza kuwa tajiri kwa kutumia fedha za rasilimali ya mafuta kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Sisi tuna madini na gesi, kwa nini fedha zinazopatikana huko zisielekezwe katika kufadhili miradi mikubwa na maendeleo ya nchi?
 
View attachment 3154692
View attachment 3154691

Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,

Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.

Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana​
===
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).

Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.

Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.

“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.

“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”

Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.

This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.

The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.

Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.

Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.

#TheCitizenUpdates
Naomba tu niwe mkweli,
Kazi anazofanya huyu mama ni kubwa sana ila hazipewi airtime ya Kutosha kama ilivyokuwa wakati wa Mwendazake ila huyu mama anafanya makubwa
 
Nchi kama Norway imeweza kuwa tajiri kwa kutumia fedha za rasilimali ya mafuta kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Sisi tuna madini na gesi, kwa nini fedha zinazopatikana huko zisielekezwe katika kufadhili miradi mikubwa na maendeleo ya nchi?
Nakubaliana na wewe,
Kama Taifa tunahitaji kutumia Rasilimali zetu,
Tatizo hatuna mtaji wa kuzifikia,
MFANO mradi wa LNG unahitaji zaidi ya 46T tunazipataje?
 
"...The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37 billion..."

Machawa mnaandika habari za uongo hadi mnapitiliza. Unaijua $37 billion?? Hilo jengo la DDC pale lina gharama ya $37billion ambayo ni takribani trillion 100

Machawa nimewatukana kimoyomoyo hapa
Ndg yangu Balthazar
Hiyo ni typinge error hizo ni US$37million
 
View attachment 3154692
View attachment 3154691

Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,

Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.

Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana​
===
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).

Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.

Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.

“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.

“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”

Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.

This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.

The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.

Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.

Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.

#TheCitizenUpdates
Tunaweza kuchukua mazuri ya PPP ya Mkapa tukachanganya na PPP hii ya mama Samia huenda tukapata kitu Bora kabisa,
Mimi nashauri PPP iwe kwenye miradi mipya tu hii ya Zamani iachwe Serikali ipambane nayo
 
PPP haitumii pesa ya Serikali inatumia pesa za Private ndio maana tunasema Serikali itajenga miradi bila kodi Toka kwa.wananchi

Acheni stori za uongo. Kama serikali haitoi pesa yoyote ila ujenzi unafanyika na Private Sector, mchango wa serikali ni upi?. PPP ni kwamba serikali inatoa kiasi na private sector kiasi.
 
Basi tumpongeze kwa hili alilofanikiwa kwanza,

Hilo la ulinzi ni suala mtambuka na wanaofanya hivyo ni watu wabaya

Amefanikiwa kwenye Nini? Kuomba wawekezaji wa Trillioni 25?. Maana unaongea kana kwamba zimeshapatikana.
 
Acheni stori za uongo. Kama serikali haitoi pesa yoyote ila ujenzi unafanyika na Private Sector, mchango wa serikali ni upi?. PPP ni kwamba serikali inatoa kiasi na private sector kiasi.
Mchango wa Serikali ni Ardhi inayomiliki
 
Mkuu sijui kama Kuna nchi hasa za Dunia ya tatu watu hawatekani,

Kutekana kumebeba mambo mengi na maswali mengi kuliko majibu

Raia anashushwa kwenye basi mchana, polisi wanaambiwa wanapuuza. Kesho yake anauawa , halafu Rais anakuja kudai kifo ni kifo
 
Uko maeneo gani tuonane kamanda ili uamini haina haja ya kubishana

Jitahidi kupambana na suspicion. Huwezi kumsifia mtu kiasi hicho Tena kwenye thread yako Kama sio wewe ndio muhusika. Elezea anachofanya basi, ukianza sifa nyingi moja Kwa moja tunakichukulia ni wewe Kafulila unajipromoti.
 
Serikali haitumii mtaji wake ila wa sekta binafsi nadhani ndio maana ya hii sentesi

Hapo ndio kwenye kigugumizi. Serikali haitoi pesa kwenye mradi, ila sekta binafsi. Na sekta binafsi wakishajenga wanapataje faida. Maana unaongea kana kwamba wanajenga Bure.
 
Raia anashushwa kwenye basi mchana, polisi wanaambiwa wanapuuza. Kesho yake anauawa , halafu Rais anakuja kudai kifo ni kifo
Sijui kama Kuna mtu anaushahidi wowote, Mimi binafsi siungi mkono utekaji na kuuana watu.
Lakini wakati mwingine yaweza kuwa pia ni watu wabaya tu wanaharibu taswira ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom