Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Nchi hii chama ni kimoja tu
Haya tumekusikia kafulia, lakini mbona unauliza na kujijibu mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi hii chama ni kimoja tu
Nchi kama Norway imeweza kuwa tajiri kwa kutumia fedha za rasilimali ya mafuta kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Sisi tuna madini na gesi, kwa nini fedha zinazopatikana huko zisielekezwe katika kufadhili miradi mikubwa na maendeleo ya nchi?View attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37 billion.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Serikali haitumii mtaji wake ila wa sekta binafsi nadhani ndio maana ya hii sentesiUnachekesha wewe,emu tuambie Serikali inashiriki vipi kwenye PPP bila kodi au tozo??.
Sijakuelewa hapoHaya tumekusikia kafulia, lakini mbona unauliza na kujijibu mwenyewe?
Naomba tu niwe mkweli,View attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Nakubaliana na wewe,Nchi kama Norway imeweza kuwa tajiri kwa kutumia fedha za rasilimali ya mafuta kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Sisi tuna madini na gesi, kwa nini fedha zinazopatikana huko zisielekezwe katika kufadhili miradi mikubwa na maendeleo ya nchi?
Ndg yangu Balthazar"...The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37 billion..."
Machawa mnaandika habari za uongo hadi mnapitiliza. Unaijua $37 billion?? Hilo jengo la DDC pale lina gharama ya $37billion ambayo ni takribani trillion 100
Machawa nimewatukana kimoyomoyo hapa
Tunaweza kuchukua mazuri ya PPP ya Mkapa tukachanganya na PPP hii ya mama Samia huenda tukapata kitu Bora kabisa,View attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Kafulila ananivutia kuipenda Serikali ya CCM na Samia mwenyewe
PPP haitumii pesa ya Serikali inatumia pesa za Private ndio maana tunasema Serikali itajenga miradi bila kodi Toka kwa.wananchi
Uko maeneo gani tuonane kamanda ili uamini haina haja ya kubishanaAcha kumdanganya watu. Wewe ndio kafulila
Basi tumpongeze kwa hili alilofanikiwa kwanza,
Hilo la ulinzi ni suala mtambuka na wanaofanya hivyo ni watu wabaya
Mchango wa Serikali ni Ardhi inayomilikiAcheni stori za uongo. Kama serikali haitoi pesa yoyote ila ujenzi unafanyika na Private Sector, mchango wa serikali ni upi?. PPP ni kwamba serikali inatoa kiasi na private sector kiasi.
Mkuu sijui kama Kuna nchi hasa za Dunia ya tatu watu hawatekani,
Kutekana kumebeba mambo mengi na maswali mengi kuliko majibu
Uko maeneo gani tuonane kamanda ili uamini haina haja ya kubishana
Mchango wa Serikali ni Ardhi inayomiliki
Serikali haitumii mtaji wake ila wa sekta binafsi nadhani ndio maana ya hii sentesi
Sijui kama Kuna mtu anaushahidi wowote, Mimi binafsi siungi mkono utekaji na kuuana watu.Raia anashushwa kwenye basi mchana, polisi wanaambiwa wanapuuza. Kesho yake anauawa , halafu Rais anakuja kudai kifo ni kifo
Wapi kajipromoti Kafulila?Kafulila tunataka vitendo sio stori na kujipromoti