Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
- Thread starter
-
- #41
Private lazima wapate faida,Hapo ndio kwenye kigugumizi. Serikali haitoi pesa kwenye mradi, ila sekta binafsi. Na sekta binafsi wakishajenga wanapataje faida. Maana unaongea kana kwamba wanajenga Bure.
Ardhi na sehemu ilipo ni mtaji mkubwa, mfano hapo DDC ukitangaza mnada wa 15bn hukosi,Hiyo Ardhi Ina thamani sawa na gharama za mradi. Kumbuka Private Sector wanafanya biashara na serikali haifanyi biashara
Sijawahi sifa za Kafulila ila sifa za anachokifanya tuJitahidi kupambana na suspicion. Huwezi kumsifia mtu kiasi hicho Tena kwenye thread yako Kama sio wewe ndio muhusika. Elezea anachofanya basi, ukianza sifa nyingi moja Kwa moja tunakichukulia ni wewe Kafulila unajipromoti.
Nakubaliana na hii hoja yako lakini Tanzania sio Norway tunamambo mengi ya tofauti hivyo tujipe muda na sisi.Nchi kama Norway imeweza kuwa tajiri kwa kutumia fedha za rasilimali ya mafuta kwa ajili ya maendeleo ya nchi. Sisi tuna madini na gesi, kwa nini fedha zinazopatikana huko zisielekezwe katika kufadhili miradi mikubwa na maendeleo ya nchi?
Hapana ni private ndio wanatoa kila kitu isipokuwa ardhiAcheni stori za uongo. Kama serikali haitoi pesa yoyote ila ujenzi unafanyika na Private Sector, mchango wa serikali ni upi?. PPP ni kwamba serikali inatoa kiasi na private sector kiasi.
Tatizo la CCM story nyingi Vitendo kisodaView attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
PPP iongezewe ulinzi hasa kuajiri wazalendoView attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Kama unaamini tskwimu za ccm, insbidi upimwe kichwa milembe, tilioni 25!, makusanyo yetu kwa, mwaka ni tilioni 20,matumizi tilioni 45,tunahitaji tilioni 25 za, kukopa, sasa unapata wapi 25 za miradi?View attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Sawaa Personal wa Kafulila a.k.a jina alilopewa na yule Mwanasheria MKuuView attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Mikopo na misaasa kwa mabeberuTAja Chanzo Cha mapato Cha kujengea hyo miradi
HahahaKama unaamini tskwimu za ccm, insbidi upimwe kichwa milembe, tilioni 25!, makusanyo yetu kwa, mwaka ni tilioni 20,matumizi tilioni 45,tunahitaji tilioni 25 za, kukopa, sasa unapata wapi 25 za miradi?
Sasa mleta mada mbona ana danganya?Mikopo na misaasa kwa mabeberu
Daah wewe jamaa na hii ID DAAAH"...The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37 billion..."
Machawa mnaandika habari za uongo hadi mnapitiliza. Unaijua $37 billion?? Hilo jengo la DDC pale lina gharama ya $37billion ambayo ni takribani trillion 100
Machawa nimewatukana kimoyomoyo hapa
Kwa kuuza nchi , hiyo inawezekana, lakini madhara yake hata vitukuu, vyake wataonja machungu ya kuuza nchi.View attachment 3154692
View attachment 3154691
Kuna mambo kwa kiburi chetu Cha uzima tunaweza kubishana lakini si-utendaji kazi wa Rais Samia Suluhu Hassan,===
Nani asiyejua hii PPP ilianza tangu enzi na enzi lakini chini ya mama huyu matokeo ni haya na tutarajie mengine mengi.
Binafsi niko tayari kupigana na kumpigania Rais Samia Suluhu Kwakuwa faida yake kwenye nchi hii inaonekana
Tanzania is mobilising at least $9 billion (about Sh25 trillion) in private capital to kickstart mega projects under the Public-Private Partnership (PPP) framework, according to the PPP Centre (PPPC).
Speaking at a seminar for the Parliamentary Standing Committee on Regional Administration and Local Government in Dar es Salaam yesterday, PPPC executive director David Kafulila highlighted the progress and significance of PPP in driving Tanzania’s infrastructure and development goals.
Currently, Tanzania is implementing over 84 projects through PPP, spanning infrastructure, hydropower, and other development sectors.
“The projects under PPPC are at various stages—agreement, feasibility studies, evaluation, procurement, and concept development,” Mr Kafulila explained.
“Key projects, such as the $340 million Kibaha-Chalinze road and the $1 billion construction of ring roads, are progressing well.”
Since the PPPC’s intensified focus on PPP projects in April, the Dar es Salaam Development Corporation (DDC) has been the primary project underway.
This project includes constructing a modern commercial complex in Kariakoo, one of Dar es Salaam’s busiest commercial districts.
The DDC building is envisioned as a multifunctional hub aimed at enhancing Kariakoo’s business appeal and attracting further investment. The project is expected to cost $37m.
Mr Kafulila emphasised that adherence to legal frameworks by all PPP stakeholders is essential for the long-term sustainability of these projects.
Additionally, he noted that the Tanzania Railways Corporation (TRC) is conducting feasibility studies to establish a new railway line connecting Kariakoo with Mlimani City and Tegeta, underscoring the government’s commitment to expanding urban transport infrastructure.
#TheCitizenUpdates
Nani anauza nchi hebu weka sawa hiliKwa kuuza nchi , hiyo inawezekana, lakini madhara yake hata vitukuu, vyake wataonja machungu ya kuuza nchi.
Siumeambiwa itatokea sekta binafsiKama unaamini tskwimu za ccm, insbidi upimwe kichwa milembe, tilioni 25!, makusanyo yetu kwa, mwaka ni tilioni 20,matumizi tilioni 45,tunahitaji tilioni 25 za, kukopa, sasa unapata wapi 25 za miradi?
Nyie washamba mnafungua I'd kibao kuandika utumbo uongo. Alafu hakuna hata anayewapa attentionNdg yangu Balthazar
Hiyo ni typinge error hizo ni US$37million
Haishinfikaninkuwa hivyo ila naona nchi imewekwa kwenye misingi ya kutegemea pesa za walipa kodi pamoja na misaada ili kuiendesha bajeti. Ila miradi mikubwa ya madini ipo kunufaisha wageni na watu wachacheNakubaliana na hii hoja yako lakini Tanzania sio Norway tunamambo mengi ya tofauti hivyo tujipe muda na sisi.
Tuna resources nyingi kama madini ya dhahabu, almadi pamoja na makaa ya mawe, achilia mbali madini mengine na hata mafuta. Badala ya kukopa kufadhili miradi ya maendeleo uwepo mpango mkakati wa kuhakikisha mapato ya rasilimali inaelekezwa kufadhili LNG pamoja na vitega uchumi vingine ili kuiwezesha nchi kujitegemea. Najua kuna watakaosema kuwa inaweza sababisha vikwazo ila zipo njia za kuepuka vikwazo hivyo.Nakubaliana na wewe,
Kama Taifa tunahitaji kutumia Rasilimali zetu,
Tatizo hatuna mtaji wa kuzifikia,
MFANO mradi wa LNG unahitaji zaidi ya 46T tunazipataje?