Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.
Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu Lissu: Omba ulinzi kabla ya kuendelea na michakato
Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo.
====
Pia soma: DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali
Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu Lissu: Omba ulinzi kabla ya kuendelea na michakato
Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo.
====
Pia soma: DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali