Pre GE2025 Bila kujali wasiojulikana, Tundu Lissu aendelea na Mikutano yake Vijijini

Pre GE2025 Bila kujali wasiojulikana, Tundu Lissu aendelea na Mikutano yake Vijijini

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Watanzania tuko desperate sana yaani, halafu hizi siasa za Chadema na CCM zinatufanya mpaka tuwe maadui
 
nyinyi mnajua mimi nimeshambuliwa sasa nikiona hali kama hiyo ninaogopa
Hayo maneno ya Laigwanaan Tundu Lissu ni dalili kuwa yeye ana "Phobia" ama Woga na hofu saa zote.

Na hiyo inatokana na yeye kuwa mhanga wa kupigwa risasi. Usimwombee binadamu mwenzako.

Yaani kesha ng'atwa na nyoka na hivyo sasa anaweweseka kila anapo sikia mlipuko, anapoona watu ambao hawajui ama kama anavyodai, anaona watu "Wasiojulikana", na itoshe kila anapokuwa jukwaani ama kwenye V8. Dah PTSD ama Post Traumatic Disorder sio mchezo jamani. Usiombee.

Kwa msingi huo, sidhani kama Lissu ataweza kushika nafasi ya Uraisi, manake kila akiwa na wasiwasi kunaweza kuathiri maamuzi.

Urais sio lele mama. Ni jukumu kubwa. Yaani 'its a high stress role with immense rsponsibility' Kuwa na wasiwasi na woga saa zote inaweza ku affect maamuzi yake. Hilo laweza kuathiri utawala na mahusiano ya kimataifa na hatimae Usalama wa Taifa.

CHADEMA, nimekuwa nawashauri wangemchangia hela za kupata matibabu stahiki na sio kumnunulia chombo ambacho kinamtia wasiwasi za zote, kama li V8. Mjengeeni mtandao thabiti wa usaidizi ili aweze kukabiliana na woga na wasiwasi inapotokea.

Dah.
 
Kwahy hayo yote yakijirudia sasa hv kama ambavyo yanajirudia kwa Lissu mtasema mhusika n nani.?

..tutaangalia tukio limetokea ktk MAZINGIRA gani.

..mahala aliposhambuliwa Lissu, na tuhuma kwamba walinzi waliondolewa ktk eneo husika, ni sababu kubwa ya mimi kaumini kwamba serikali ilihusika.

..pia kitendo cha Magufuli kutokuchukua hatua za haraka kama ilivyokuwa mazoea yake kimechangia kunishawishi kwamba shambulizi dhidi ya Lissu lilikuwa na baraka zake.
 
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.

Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu Lissu: Omba ulinzi kabla ya kuendelea na michakato

View attachment 3010201View attachment 3010204

Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo
Kwani huyu tundu lisu anataka nini? Mbona ameshalipwa kila kitu. Aache kutuchafulia nchi
 
Naona watu wamejaa knoma kuja kusikiliza nondo kutoka kwa mwamba Lissu, vp hakuna picha ya juu ili tuone umati vizuri kama hii [emoji116] ya mkutano wa Chadema ila jukwaa la juu ina picha ya Mwinyi wa CCM.?

View attachment 3010238

Utakuwa umepungukiwa kichwani kutarajia maelfu ya watu kwenye mkutano wa kijiji, labda uwasombe watu wa maeneo mengine kwa mafuso kama ambavyo huwa wanafanya CCM.
 
Hayo maneno ya Laigwanaan Tundu Lissu ni dalili kuwa yeye ana "Phobia" ama Woga na hofu saa zote.

Na hiyo inatokana na yeye kuwa mhanga wa kupigwa risasi. Usimwombee binadamu mwenzako.

Yaani kesha ng'atwa na nyoka na hivyo sasa anaweweseka kila anapo sikia mlipuko, anapoona watu ambao hawajui ama kama anavyodai, anaona watu "Wasiojulikana", na itoshe kila anapokuwa jukwaani ama kwenye V8. Dah PTSD ama Post Traumatic Disorder sio mchezo jamani. Usiombee.

Kwa msingi huo, sidhani kama Lissu ataweza kushika nafasi ya Uraisi, manake kila akiwa na wasiwasi kunaweza kuathiri maamuzi.

Urais sio lele mama. Ni jukumu kubwa. Yaani 'its a high stress role with immense rsponsibility' Kuwa na wasiwasi na woga saa zote inaweza ku affect maamuzi yake. Hilo laweza kuathiri utawala na mahusiano ya kimataifa na hatimae Usalama wa Taifa.

CHADEMA, nimekuwa nawashauri wangemchangia hela za kupata matibabu stahiki na sio kumnunulia chombo ambacho kinamtia wasiwasi za zote, kama li V8. Mjengeeni mtandao thabiti wa usaidizi ili aweze kukabiliana na woga na wasiwasi inapotokea.

Dah.

Una uhakika na afya ya akili yako?

Kama una akili hata ile ya kawaida kabisa, kuna vitu vya wazi kabisa ambavyo lazima utakuwa unavifahamu kwa Tundu Lisu:

1) Hajawahi kuwa mtu wa kuogopa maisha yake yote. Angekuwa muoga asingeweza hata kuja kugombea Urais 2020, tena akimsema kwa uwazi kabisa aliyetaka kumwua.

2) Mtu ambaye amenyooka katika ukweli wa kauli, na asiyejali ukweli huo utamwumiza nani.

Kabla ya kushambuliwa na wale mashetani, alinena kwa uwazi juu ya watu waliokuwa wakimfuatilia kwa dhamira mbaya, lakini hilo halikumtisha lolote, aliendelea kutembea kwenye misimamo yake. Baada ya kunusurika kifo, Lisu hakubadilika kuwa muoga, tena alitoa kauli kali zaidi dhidi watawala laghai na katili.

Ama uwe huna akili ya kufanya analysis au uwe mtu ambaye umeruhusu unafiki upumbaze akili yako, ndiyo utaamini kuwa Lisu ni muoga. Kama Lisu ametamka kuwa lile kundi la mashetani lililokuwa linajiita Wasiojulikana, wanamfuatilia, itakuwa ni dhahiri, ila wanachokitafuta watakipata. Wasiishi kwa kukariri kuwa Lisu ataendelea kuwa mhanga wao.
 
Utakuwa umepungukiwa kichwani kutarajia maelfu ya watu kwenye mkutano wa kijiji, labda uwasombe watu wa maeneo mengine kwa mafuso kama ambavyo huwa wanafanya CCM.
Huyo jamaa kama yupo CCM, na anazo akili za kutosha, atakuwa na hofu kubwa sana moyoni mwake kuona kitu kama hiki.

Ni wazi niseme. Hii nguvu anaitoa wapi huyu Lissu. Mkutano saa tatu asubuhi?
 
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.

Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu Lissu: Omba ulinzi kabla ya kuendelea na michakato

View attachment 3010201View attachment 3010204

Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo

Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.

Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu Lissu: Omba ulinzi kabla ya kuendelea na michakato

View attachment 3010201View attachment 3010204

Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo
Danganyaneni tu mwenzenu huyo anasubiri permanent permit atawaacha hapo hapo mnapiga miayo
 
Na hiyo inatokana na yeye kuwa mhanga wa kupigwa risasi. Usimwombee binadamu mwenzako.
Chukuwa dakika chache tu uwazie ingekuwa ni wewe kwenye nafasi ya Lissu, ungekuwa na hali gani wakati huu.

Sitaki uniambie mimi chochote, kaa na mawazo yako hayo mwenyewe.
 
Utakuwa umepungukiwa kichwani kutarajia maelfu ya watu kwenye mkutano wa kijiji, labda uwasombe watu wa maeneo mengine kwa mafuso kama ambavyo huwa wanafanya CCM.
Sawa, haya nipe maelezo kuhusu hy picha hapo juu kwenye mkutano wa Chadema
 
Hii ni saa tatu asubuhi, siku ya Alhamis, June 06 2024. Kijijini?

'Erythro', unasema kweli hapa?
Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.

Pia soma Kuelekea 2025 - Ushauri kwa Tundu Lissu: Omba ulinzi kabla ya kuendelea na michakato

View attachment 3010201View attachment 3010204

Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo
Kwa akili za Geography ya kidato cha pili Ukiangalia kivuli unajua ni muda gani, sasa kwa picha alizoweka mke wa mbowe Miss Erythrocyte unaweza kujua huo muda ni kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 9 mchana hivi.
 
Chukuwa dakika chache tu uwazie ingekuwa ni wewe kwenye nafasi ya Lissu, ungekuwa na hali gani wakati huu.

Ni dhahiri ningekuwa naweweseka, na kiwewe woga na wasiwasi-Huo ni ukweli usiopingika. Lissu yupo kwenye wakati mgumu. His mental state is questionable.

Hebu jiulize, alitegemea akiwa anakwenda majukwaani atakuwa ana. This wajua wote waliopo hapo? Utawaitaje watu hao kama sio watu wasiojulikana? Tafakari.

Hii ni zama ya kjiditali, karibia simu zote zina kamera na kama kweli yeye alitaka watu hao wawe exposed, angetafuta mbinu ya kupiga picha hilo gari linalomfuatilia aweke humu mtandaoni. Je hiyo ni failure ya Security wa CHADEMA? Ama ni porojo za Lissu kupata sound bite?
Sitaki uniambie mimi chochote, kaa na mawazo yako hayo mwenyewe.

Sikuambii chochote na wala huna ulazima wa kusoma nilichoandika. Itoshe sina mawazo, ni Lissu ndie mwenye mawazo saa zote anadhani anafuatiliwa kupigwa risasi.
 
Una uhakika na afya ya akili yako?
Je na Lissu ana uhakika na afya ya akili Yake?
Kama una akili hata ile ya kawaida kabisa, kuna vitu vya wazi kabisa ambavyo lazima utakuwa unavifahamu kwa Tundu Lisu:
Ndio nafahamu Tundu Lissu ni mhanga wa kupigwa Risasi. Wahanga wa kupigwa Risasi huwa wanapata kile kinachoitwa PTSD na hilo linathibitishwa na watafiti na wanasayansi-Unataka kusema Lissu hajafanya therapy kwa sababu za kupigwa Risasi?
1) Hajawahi kuwa mtu wa kuogopa maisha yake yote. Angekuwa muoga asingeweza hata kuja kugombea Urais 2020, tena akimsema kwa uwazi kabisa aliyetaka kumwua.
Huwo ni uwongo. Maneno yake mwenyewe, matamshi yake mwenyewe anadai anaogopa
20240606_081039-jpg.3009916


โ˜๐ŸฟKama sio woga ni nini? Anatafuta "amani" iweje?
2) Mtu ambaye amenyooka katika ukweli wa kauli, na asiyejali ukweli huo utamwumiza nani.
Sasa Ukweli anaousema ni kwamba "Anaogopa" na tafsiri yake kitaalaam ni jamho la kawaida kwa binadamu yeyote yule kuwa na woga ama wasiwasi kutegemea na mazingira yako. Narudia. Lissu alipigwa risasi na hivyo inamfanya awe ni special case likija suala la "Kuogopa"
Kabla ya kushambuliwa na wale mashetani, alinena kwa uwazi juu ya watu waliokuwa wakimfuatilia kwa dhamira mbaya, lakini hilo halikumtisha lolote, aliendelea kutembea kwenye misimamo yake. Baada ya kunusurika kifo, Lisu hakubadilika kuwa muoga, tena alitoa kauli kali zaidi dhidi watawala laghai na katili.
โ˜๐ŸฟPorojo
Ama uwe huna akili ya kufanya analysis au uwe mtu ambaye umeruhusu unafiki upumbaze akili yako
Kwa vipimo gani hivyo Ulivyo vifanya? Kwani nimesema Uwongo? Lissu hakupigwa Risasi? Kwqmba wahanga wa kupigwa risasi huwa wanapata PTSD?

Wewe ndie uliyepumbazwa na Uchawa wako na visasi vyako.
, ndiyo utaamini kuwa Lisu ni muoga.
Amesema Mwenyewe sasa ulitaka ni muamini nani? Na wewe mwenyewe umesemabkuwa Lissu huwa anasema Ukweli wakati wote!
Usinilishe maneno. Punguza Uchawa.
Kama Lisu ametamka kuwa lile kundi la mashetani lililokuwa linajiita Wasiojulikana, wanamfuatilia, itakuwa ni dhahiri, ila wanachokitafuta watakipata. Wasiishi kwa kukariri kuwa Lisu ataendelea kuwa mhanga wao.
Ndio ninasema, his mental state is questionable. Na athari za kuwa na mtu mwenye woga na wasiwasi saa zote zinaweza kuligharimu Taifa.

Ungekuwa umekuja kupinga hoja sawa, ila umekuja na hila na visasi-Ad hominem. Sikuachi

Kenge wewe.
 
Kwa akili za Geography ya kidato cha pili Ukiangalia kivuli unajua ni muda gani, sasa kwa picha alizoweka mke wa mbowe Miss Erythrocyte unaweza kujua huo muda ni kuanzia saa 6 mchana mpaka saa 9 mchana hivi.
Huko kwenye jiografi yenu huwa picha haziwadanganyi?
Hapana, niseme haziwadanganyi, lakini hamna uwezo wa kuzisoma hizo picha. Halafu unataka watu waamini kuwa mtu kama wewe naye unajihesabu kuwa umesoma!
 
Ni dhahiri ningekuwa naweweseka, na kiwewe woga na wasiwasi-Huo ni ukweli usiopingika. Lissu yupo kwenye wakati mgumu. His mental state is questionable.

Hebu jiulize, alitegemea akiwa anakwenda majukwaani atakuwa ana. This wajua wote waliopo hapo? Utawaitaje watu hao kama sio watu wasiojulikana? Tafakari.

Hii ni zama ya kjiditali, karibia simu zote zina kamera na kama kweli yeye alitaka watu hao wawe exposed, angetafuta mbinu ya kupiga picha hilo gari linalomfuatilia aweke humu mtandaoni. Je hiyo ni failure ya Security wa CHADEMA? Ama ni porojo za Lissu kupata sound bite?


Sikuambii chochote na wala huna ulazima wa kusoma nilichoandika. Itoshe sina mawazo, ni Lissu ndie mwenye mawazo saa zote anadhani anafuatiliwa kupigwa risasi.
Nilikusihi usiniambie mimi wala wasomaji wengine humu. Hali hiyo unaijuwa mwenyewe.
Lissu ni mtu tofauti sana na watu kama ulivyo wewe. Huyu ni mtu mmoja wa kipekee sana, na moyoni mwako unajuwa hivyo.

Ukiendelea kunifuatafuata zaidi ya hapo, utakuwa unatafuta mengine.
 
Nilikusihi usiniambie mimi wala wasomaji wengine humu. Hali hiyo unaijuwa mwenyewe.
Lissu ni mtu tofauti sana na watu kama ulivyo wewe. Huyu ni mtu mmoja wa kipekee sana, na moyoni mwako unajuwa hivyo.

Ukiendelea kunifuatafuata zaidi ya hapo, utakuwa unatafuta mengine.
Usinitishe.
Aliyemfuata mwenzake ni nani hapa? Nilikuomba usome psti yangu na kunijibu.

Wewe ndie unaependa kunifuatilia fuatilia.

Tulia dawa ikuungie.

Njoo sasa na hayo memgine๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Usinitishe.
Aliyemfuata mwenzake ni nani hapa? Nilikuomba usome psti yangu na kunijibu.

Wewe ndie unaependa kunifuatilia fuatilia.

Tulia dawa ikuungie.

Njoo sasa na hayo memgine๐Ÿ˜Œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Sasa unatafuta ugomvi na nipo tayari kwa chizi kama wewe.
Haya unataka tuanzie wapi kwenye uchizi wako au huko unakopelekwa chooni?
 
Back
Top Bottom