Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Vijana wajinga ni kama akina Mashambwa?Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.
View attachment 3010201View attachment 3010204
Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo
Taarifa kutoka kitengo chetu inaonyesha kwamba wako 100Vijana wajinga ni kama akina Mashambwa?
akiulizwa maswali asipanic, fursa ya maswali kaitoa mwenyewe halafu yanamkera 🤣🐒Huu hapa ni Mkutano wa hadhara kwenye Kijiji cha Kinyeto, Jimbo la Singida Kaskazini, uliofanyika leo saa 3 asubuhi .Ikumbukwe kwamba Lissu amekwisha toa angalizo la kufuatiliwa na kikundi cha Wasiojulikana, ambako tayari kishawashitaki kwa umma.
View attachment 3010201View attachment 3010204
Chadema inaendelea na Ratiba zake bila kujali vijana Wajinga waliosambazwa mitandaoni kwa Ujira duni ili kuizushia uongo
Mwingine HUYU hapa boss wao.Uenyekiti wa chadema umetoa roho wengi. Pole sana Lisu
Leo ushaanza kumwelewa Lissu baada ya mungu wako jiwe kufa, Tulikuonya kwamba Shetani hajawahi kumshinda MunguUenyekiti wa chadema umetoa roho wengi. Pole sana Lisu
MmmmmmmmJPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
..mbinu za uongo na ukatili za Magufuli zilikuwa za hali ya chini, au za kijinga.
..hali hiyo ndio ilisababisha lawama za matukio yote mabaya ya serikali zielekezwe kwake.
..watangulizi wake serikali ilipokosea lawama zilienda kwa Waziri Mkuu, au Waziri wa sekta husika.
N miaka mitatu sasa JPM hayupo ila bado wasiojulikana wapo na wengine wanamfatilia Lissu, vp anayeendeleza haya mambo n nani au ni JPM akiwa mfu.?Mmmmmmmm
Propaganda mfu.Uenyekiti wa chadema umetoa roho wengi. Pole sana Lisu
Usihangaike na wajingaMmmmmmmm
N miaka mitatu sasa JPM hayupo ila bado wasiojulikana wapo na wengine wanamfatilia Lissu, vp anayeendeleza haya mambo n nani au ni JPM akiwa mfu.?
JPM alisingiziwa mabaya mengi sana na Chadema
Kwahy hayo yote yakijirudia sasa hv kama ambavyo yanajirudia kwa Lissu mtasema mhusika n nani.?..ujinga wa Magufuli ni kama tukio la Mo Dewji kutekwa halafu akaachiwa karibu na Wizara ya Mambo ya Ndani.
..ujinga mwingine ni tukio la ofisi ya mkosoaji wake, Fatma Karume, iliyoko karibu na makao makuu ya jeshi, kushambuliwa kwa bomu na wahusika kufanikiwa kutoroka.
Kwahy wale waliokuwa wanafanya maovu kwa amri ya JPM, sasa hv wanafanya kwa amri ya nani?..Rais Samia Suluhu amebadilisha mbinu za kushindana na wapinzani.
..mpaka sasa hivi hajatumia mabavu na ukatili kama alivyokuwa akifanya Magufuli.
..kasoro kubwa ninayoiona kwa Rais Samia ni kushindwa kuwachukulia hatua wote waliohusika na matendo ya kikatili na kikandamizaji wakati wa utawala wa Magufuli.
..kwamba Samia hajachukua hatua za kisheria inatia wasiwasi kwamba iko siku na yeye atakuja kuwatumia walewale waliotumika na Magufuli kutenda uovu.