Bila kujirudi, Kassim Majaliwa atapigwa chini!

Serikali nzima ya ccm imenufaika na mfumo wa kupita bila kupingwa,aliouanzisha Shetani Jiwe.
Hakuna msafi ccm,ila kama wanataka kumtoa kafara Majaliwa Ili kujisafisha mbele ya jamii,haitoshi,ccm ni saratani ndani ya nchi,dawa ni kuichoma kwa mionzi
 


Hivi tujiulize waziri mkuu kwenda jimboni Hai baada ya uchafuzi wa 2020 na kusema tulikuwa tinawatumia hawa akiimanisha Sabaya alikuwa na maana gani? Alisema bila kujua wakati ule Magu atatutoka.

Mpinzani wa Majaliwa aliletewa mizengwe na jina lake kutolewa na sio kweli alijitoa kwa heshima. Saaa kuna sababu gani sasa ya chama kumweka mgombea ambaye tena aje kujitoa sasa mchakato wa kutafuta mgombea kwenye jimbo ulikuwa wa nini hasa?
 
Serikali nzima ya ccm imenufaika na mfumo wa kupita bila kupingwa,aliouanzisha Shetani Jiwe.
Hakuna msafi ccm,ila kama wanataka kumtoa kafara Majaliwa Ili kujisafisha mbele ya jamii,haitoshi,ccm ni saratani ndani ya nchi,dawa ni kuichoma kwa mionzi

Tofauti ni kwa kiti chake ni ngumu kumuhusisha kwenye majadiliano huko mbele. Katika mambo waliokubaliana kwa mujibu wa Mbowe ni kusema maovu yaliyoyekea kwa uwazi sasa je Majaliwa yuko tayari?
 
H
Hivi tujiulize waziri mkuu kwenda jimboni Hai baada ya uchafuzi wa 2020 na kusema tulikuwa tinawatumia hawa akiimanisha Sabaya alikuwa na maana gani? Alisema bila kujua wakati ule Magu atatutoka.
Kuna things that the government people does which goes without saying kuhusu nafasi za ma DCs na ma RCs, enzi za PM Pinda, niliwahi kusema kitu kuhusu hili PM, Hon. Mizengo Kayanza Peter Pinda; Sorry, You are very wrong! hivyo usimtwishe PM pekee jukumu hili, it's a system. Wakati DC Sabaya anakabidhiwa kuwa DC wa Hai, alikabidhiwa some extra duty fulani which he did it vizuri na kufanikisha!, ndio maana aliposhitakiwa yeye tuu nikauliza why him alone wakati kuna wengine wengi who did the same, hivyo nikatoa angalizo Life After Life: Je, wajua Magufuli huko alipo anayaona yote? Je, tuendeleze 'double standards' ya 'cherry picking' au tuiachie Karma iwashughulikie?
P
 
Kati ya maboresho ya JF ninayopendekeza, ni mkimuita member humu muongo:, unaweka na uongo wake kisha unaweka ukweli wako.
P
Mbowe hawezi kumtumikia Samia kama mwenyekiti wa CCM.
Anamtumikia kama Rais wa Jamhuri ya muungano Tanzania, na Rais Samia pia anamtumikia Mbowe kama Mwenyekiti wa Chadema Taifa.
Huo ndio ukweli dhidi ya uongo wako!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Elimu ya uraia inahitajika sana!, mazungumzo ya maridhiano ni kati ya vyama CCM na Chadema, na sio Chadema na serikali!. Mbowe anapo ongea na Samia, ni Samia Mwenyekiti wa CCM na sio Samia rais wa JMT!. Ni mazungumzo ya kichama na sio ya kiserikali!.
P
 
Huyo toka aseme uongo akiwa msikitini kule Njombe nimemdharau sana
Ulitaka aseme Magufuli anaumwa? Mbona hata Samia hakusema ukweli alisema Rais anaumwa vimafua tu ila mbona hamsemi Samia muongo na kumdharau?
 
Chadema wanataka waliokuwa Kwa magufuli wote watoke Yani wanaona apo watakuwa wamechukuwa nchi, chuki mbaya sana
Nafikiri kuna kitu hujakifahamu, sio watu wote waliokuwa na Magufuli walifurahia ubabe, ukandamizaji na uvunjifu wa katiba alikuwa akiufanya. Ndio maana unaona mabadiliko yanaanzia CCM yenyewe. Na wala sio CHADEMA, hakuna kinachoweza kufanyka bila CCM hebu elewa hili. Sasa ndio sababu Rais wetu alisema atabadili viongozi ambao haendani na yeye kwenye mkutano wa CCM tulia utajua pole pole.
 
Hata ndani ya CCM na serikali kuna wasio taka vita/vifo/mateso kwa vyama pinzani wanataka siasa za ushindani ambazo ni kioo chao cha kujitazama na kujirekebisha.
 
Ulitaka aseme Magufuli anaumwa? Mbona hata Samia hakusema ukweli alisema Rais anaumwa vimafua tu ila mbona hamsemi Samia muongo na kumdharau?
Hayo ya Magufuli unayasema wewe sijui mlielezana nini naye huyo mpaka kiwi nyeusi kichwani.
 
Enyi WANAFIKI,

Ni nani alitewaambia Kassim Majaliwa hawezi kubadilika na kuepuka mfumo kandamizi?

Changamoto tulizopitia ni za kimfumo, Si za Kassim binafsi.

Kama sa100 ameweza badilika, Kassim aweza badilika pia akiwa Waziri mkuu.

KAMBA, mwigu, napena na wahuni wengine kama hawajaondoshwa, hayupo Bado wa kupoint FINGERS Kwa KASSIM MAJALIWA.

Aamen
 
Hayo ya Magufuli unayasema wewe sijui mlielezana nini naye huyo mpaka kiwi nyeusi kichwani.
Siyasemi mimi bali wale wanaosema Majaliwa ni muongo, na huo uongo wenyewe ndio huo wa kusema Magufuli mzima kumbe anaumwa.
 
Kwani Samia alikuaje hadi useme kabadilika?
 
Kamundu! Bila shaka wewe ni mmojawao unaotumika au kujipigia debe. Be objective not subjective. Unakumbusha mambo yaliyopita ili iweje? Mh.Waziri Mkuu hana kosa gani hapo mgombea kama aliingia mitini? Leta ushahidi sio kutumiwa na wapenda madaraka. Mungu akusaidie uache chuki binafsi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…