Bila kujirudi, Kassim Majaliwa atapigwa chini!

Bila kujirudi, Kassim Majaliwa atapigwa chini!

Mtu mjinga tu ndio anaweza kusema Zito hakutumwa ili ionekane serikali imemuachia kwa kuombwa. Wafuasi wote wa CDM walimwambia Zito aache kimbelembele,
Kama ni kimbelembele sawa lakini kutumwa no!. A day before Zitto hajamuombea msamaha Mbowe, Zitto alimtembelea Mbowe Segerea, hatujui walizungumza nini, hivyo it might be it was out of huruma ya mateso ya jela
ni bora Mbowe afungwe kwa uonevu, kuliko kupewa msamaha huku akiwa hana kosa.
I like the firmness in you!. Msimamo huu ni sawa na ule wa Nelson Mandela, heri kufungwa gerezani ukiwa na msimamo huru kuliko kuwa huru kwenye uhuru wenye masherti!. Heri kufa ukiwa huru kuliko kuwa hai lakini ni mtumwa!.
CDM hawahitaji umoja ambao unatumika kuharibu lengo. Kama CDM ni kikwazo kwa hivyo vyama vingine, mbona vyenyewe haviungani ili kupambana na CCM?
Hili neno!.
Katika vitu ambavyo CDM hawapaswi kuingia mtego ni pamoja na kuunda umoja wa vyama vingine vinavyoigiza ni vya upinzani
Duh...!, kuna vyama vya upinzani na vyama vya maigizo ya upinzani?!.
Huyo Mbowe tumeshamstukia muda mrefu, sio hata lazima ww utuambie. Toka Mbowe amempokea Lowassa, alipaswa kukaa pembeni mara baada ya Lowassa kushindwa kuupata urais kwa njia ya shortcut.
Hili niliwahi kushauri, chama kinaposhidwa uchaguzi Mkuu, viongozi wanawapisha wegine!.
Inshort Mbowe hastahili tena kuwa mwenyekiti wa CDM, na hili nimelizunguma muda mrefu.
Kauli hiyo ni haki kwa registered members wa Chadema only, sisi wengine uwezo wetu ni kushauri tuu na kutoa angalizo bila ku point fingers
Narudia tena, hayo maridhiano ni utapeli kama utapeli mwingine.
Sii kweli, maridhiano sio utapeli, it's real na mambo mazuri yanaonekana!, mikutano rukhsa, sheria zinabadilishwa na katiba inafuata!. Mama is for real!.
Mikutano ya hadhara ni haki ya kikatiba na sio hisani,
Naunga mkono hoja, hili hata mimi nimelisema!. https://www.jamiiforums.com/threads...rais-samia-haki-kuhisaniwa-hadi-lini.2053265/
ila kwa ajili ya kutawaliwa kwa shuruti na chama kisicho na uhalali wa umma,
Sii kweli kuwa CCM haina uhalali, CCM ina uhalali wa kuchaguliwa katika uchaguzi Mkuu wa kidemokrasia ya Kiafrika, African Democracy ambayo figusu, bao la mkono na determinant ya ushindi sio vote cast but votes count.
ndio maana unaona chama hicho kikishirikiana na vyombo vya dola chini ya katiba mbovu kuivunja hiyo katiba.
Sio kweli kuwa CCM inashirikiana na vyombo vya dola, no!, CCM ni chama dola, hivyo vyombo vya dola ni vyombo vyake, na katiba pia ni katiba yake!, hivyo inaifanya itakavyo. https://www.jamiiforums.com/threads...ala-bali-pia-ni-chama-dola.36662/#post-557165
Nasisitiza tena, machafuko pekee ndio yataweza kuleta tume ya kweli ya uchaguzi, na katiba mpya yenye matakwa ya wananchi.
Watanzania sio watu wa fujo na machafuko, Watanzania ni watu pisi sana!, tume huru na katiba mpya itapatikania mezani kwenye mazungumzo.
P
 
Kamundu! Bila shaka wewe ni mmojawao unaotumika au kujipigia debe. Be objective not subjective. Unakumbusha mambo yaliyopita ili iweje? Mh.Waziri Mkuu hana kosa gani hapo mgombea kama aliingia mitini? Leta ushahidi sio kutumiwa na wapenda madaraka. Mungu akusaidie uache chuki binafsi
Aombee msamaha kwa lipi? Narudia weww ni mmojawapo unayetumika kama si kutumiwa au unajipigia debe. Wagombea wangapi walipita bila kupingwa?mbona huwasemei nao wajiuzulu?? Unataka kuivuruga Seekali na Chama cha Mapinduzi. Kaa ufanye kazi acha kupiga majungu. Mheshimiwa Rais Mama Samia anaenda vizuri na wasaidizi wake, nyie mnaingia na nongwa. Mtasubiri sana. Wakati wa Mungu ndo jibu Sahihi. Tulia msumari uwaingie.
 
Back
Top Bottom