Bila kulewa huwa sipati usingizi kabisa

Bila kulewa huwa sipati usingizi kabisa

Fanya mazoezi kabla ya kuingia kulala mazoezi mazuri ni ya kutoa jasho. Pia ushughulishe mwili usiwe umekaa tu kutwa nzima. Na usitumie vinywaji kama energy na kahawa.
Nimeanza kufanya,sema mazoezi nayo yanahitaji commitment.
 
Hello Jf.
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya,mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa,na pombe zangu kubwa ni Heineken, windhoek na serengeti light but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.mfano usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia,but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Nenda ukalewe baa za manzese alafu usubiri ubebwe, asubuhi ukiamka ukikuta wamekupasulia mayai ya kutosha hutakaa utamani tena kunywa pombe
 
Nimeanza kufanya,sema mazoezi nayo yanahitaji commitment.
Ukiweza kutoboa wiki kila siku bila kupumzika kwa kufanya mazoezi basi itakuwa rahisi. Usiwe unafanya leo alafu kesho unaacha kwa mtindo huo utaona uvivu
 
Hello Jf.
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya,mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa,na pombe zangu kubwa ni Heineken, windhoek na serengeti light but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.mfano usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia,but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Fanya mazoezi jioni na papuch usiku ni dozi poa sana utalala fo fo fo
 
Simple tu.. Usicomplicate sana...

Lala bila kunywa hata ukikosa usingizi lwa siku 1 au 2 sio mbaya..

Lakim siku ya 3 lazima ulale.. Kwa sbbu mwili utakuwa umechoka na unahitaji kupumzika..

Ondoa mawazo kichwani ya "usipokunywa hupati usingizi"

Fika kitandan waza mambo mengine kbsa yasiyohusu pombe na kukosa usingizi.. Ukiweza ku overcome siku 3.. Bas utakuwa usha solve tatizo
Hello Jf.
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya,mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa,na pombe zangu kubwa ni Heineken, windhoek na serengeti light but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.mfano usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia,but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
 
Usipoji control utazeeka mapema sana kabla ya umri wako.
 
Endelea tu kunywa pombe 🍷🥂🍻🍺mkuu ili utuwakilishe vizuri sisi walokole ambao hata ladha yake tu hatuielewi!
 
Komaa hivyohivyo usingizi utajipendekeza wenyewe. Usiende kulala kabla hujahisi kusinzia, kama uko sehemu za baridi oga maji ya Moto kwenye joto ya uvuguvugu, usikae Sana baada ya kuoga kabla ya kulala.
 
Hello JF,

Naombeni ushauri wa nini cha kufanya.

Mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa, na pombe zangu kubwa ni Heineken, Windhoek na Serengeti Lite but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.

Mfano, usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia, but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Endelea kulewa
 
Hello JF,

Naombeni ushauri wa nini cha kufanya.

Mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa, na pombe zangu kubwa ni Heineken, Windhoek na Serengeti Lite but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.

Mfano, usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia, but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Punguza stress za mapenzi we sio wakwanza kufumania mkeo akiliwa tafuta mrembo mwingine akutibu msongo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Acha pombe ndugu hapo unadumisha hilo tatizo,subiri waje wataalum wakuelezee ila kunavitu viwili naomba nikushauri navyo ni unapokosa au kabla ya kulala jisomee kitabu penda kusoma na kutafakari usingizi utaanza kukujia na ukijizoesha mwili utazoea Kisha fanya na mazoezi sio lazima yawe ya muda mwingi hata kidogo tu ila yenye impact kubwa.
Mkuu umeshawahi kuwa mnywa pombe?,Maana ushauri wako sijui km unaweza kumsaidia mtu ambaye amekubuhu kwenye pombe.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom