Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda ukalewe baa za manzese alafu usubiri ubebwe, asubuhi ukiamka ukikuta wamekupasulia mayai ya kutosha hutakaa utamani tena kunywa pombeHello Jf.
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya,mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa,na pombe zangu kubwa ni Heineken, windhoek na serengeti light but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.mfano usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia,but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Ukiweza kutoboa wiki kila siku bila kupumzika kwa kufanya mazoezi basi itakuwa rahisi. Usiwe unafanya leo alafu kesho unaacha kwa mtindo huo utaona uvivuNimeanza kufanya,sema mazoezi nayo yanahitaji commitment.
Sina mawazo hata mkuu
Henken kali sana usichukulie poa, labda wintdhockSerengeti lite, heinken sio pombe, ni juice zilizochangamka
Fanya mazoezi jioni na papuch usiku ni dozi poa sana utalala fo fo foHello Jf.
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya,mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa,na pombe zangu kubwa ni Heineken, windhoek na serengeti light but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.mfano usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia,but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Hello Jf.
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya,mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa,na pombe zangu kubwa ni Heineken, windhoek na serengeti light but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.mfano usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia,but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Ushauri mzuri kabisa huu ....asipoufuata shauri yake....Nenda hospitali kamwone daktari kwa ushauri.
Mzee wa chuga huyu ...naona ameunda Bible yake ya kuhalalisha pombeMaisha yafaa Nini bila pombe
Wahutu 10:9
Uchoshe ili ukifika tuu unalala.Mwili unachoka lakini sio ile saana.
Endelea kulewaHello JF,
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya.
Mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa, na pombe zangu kubwa ni Heineken, Windhoek na Serengeti Lite but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.
Mfano, usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia, but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Punguza stress za mapenzi we sio wakwanza kufumania mkeo akiliwa tafuta mrembo mwingine akutibu msongoHello JF,
Naombeni ushauri wa nini cha kufanya.
Mimi kwa kifupi bila kunywa pombe huwa sipati usingizi,mimi sio mlevi yule wa kulewa mpaka kubebwa, na pombe zangu kubwa ni Heineken, Windhoek na Serengeti Lite but for sure huwa siwezi kupata usingizi bila kupata bia.
Mfano, usiku wa kuamkia leo nilijiambia nijaribu kulala bila kuonja bia, but surprisingly usingizi umekata since saa 7 usiku.
What should I do ,coz nataka kuachana na unywaji wa pombe?
Mkuu umeshawahi kuwa mnywa pombe?,Maana ushauri wako sijui km unaweza kumsaidia mtu ambaye amekubuhu kwenye pombe.Acha pombe ndugu hapo unadumisha hilo tatizo,subiri waje wataalum wakuelezee ila kunavitu viwili naomba nikushauri navyo ni unapokosa au kabla ya kulala jisomee kitabu penda kusoma na kutafakari usingizi utaanza kukujia na ukijizoesha mwili utazoea Kisha fanya na mazoezi sio lazima yawe ya muda mwingi hata kidogo tu ila yenye impact kubwa.