Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Zimefanyaje?Hizi mada
Nenda gym uoneWanapepesa macho?Wamekuwa Joti?
Changamoto yao wanadhani urefu wangu unaendana na urefu wa "vidole" vyangu.Nenda gym uone
Nenda ukiwa na tahadhari wanatabia ya kujifanya nalala chali kaka njoo unisaidie kunipa chuma ukimpa tu anaanza jibebisha mara oh njoo uchukue I can'tNilitaka kuanza gym mbona unanitisha sasa.
Khaa! Hii tabia ya jf kudhani member wote humu ni wanaume itaisha lini? Mimi mdada.Nenda ukiwa na tahadhari wanatabia ya kujifanya nalala chali kaka njoo unisaidie kunipa chuma ukimpa tu anaanza jibebisha mara oh njoo uchukue I can't
[emoji23][emoji23] tatizo watu wanavaa uhusika wa kike na kiume hukuKhaa! Hii tabia ya jf kudhani member wote humu ni wanaume itaisha lini? Mimi mdada.
Nenda gym wewee acha porojo jamvinChangamoto yao wanadhani urefu wangu unaendana na urefu wa "vidole" vyangu.
Acha porojo wewee. Weka screenshot wadau tujiridhishe.[emoji23][emoji23] tatizo watu wanavaa uhusika wa kike na kiume huku
Wadada mnaenda gym kudanga na sio kufanya mazoezi kule mnaenda kudanga kutafuta watu muwachune hela za pango
Kipindi cha gym kujaa ni mwezi wa sita na mwezi wa kumi na mbili ndio gym inakuwa na wateja wengi wakike kama uongo mbona ukimpata dango unaacha kufanya mazoezi?
Na mkiacha mbona unabadilisha sehemu ya mazoezi?
Ruksa kujitetea na kutoa povu
Mzuka?Nimeacha porojo bwana Mkaldayo sugu.Nenda gym wewee acha porojo jamvin
Ahaha ngoj waje uwaulizeChangamoto yao wanadhani urefu wangu unaendana na urefu wa "vidole" vyangu.
Oh kumbe bibie sorryKhaa! Hii tabia ya jf kudhani member wote humu ni wanaume itaisha lini? Mimi mdada.