Bila kupewa promo na Diamond Platinumz, Alikiba si chochote wala si lolote

Bila kupewa promo na Diamond Platinumz, Alikiba si chochote wala si lolote

Ajabu sana kuona mada kama hii, ilhali Alikiba aliwahi kutamba kabla ya uwepo wa Diamond sasa sijui kitambo hicho alikuwa anabebwa na nani

Alikiba alikuwa anatamba tangu enzi mziki wa tz umetawaliwa na Hip hop, za akina Sir nature,prof jay,Daz nunda,mandojo na domokaya na wabana pua wachache kina Dully Skye's,Mr Paul,Jaydee,Banana zoro nk

Akaja kwa kina makamua,Q jay,marlaw,PNC, Tunda man,
Joslin,Matonya,Pasha,belly white and black,Dullayo nk

Wakamkuta kina belle 9, Diamond,Jux,Top c,Timbulo,Mo music,ommy dimpoz,Top c,Sam wa ukweli nk

Wakaja kina Rayvany,konde,Marioo,Jay melody na madogo wengi wenye mabalaa ila Kiba he's still there, na kila zama alizokuwepo ukitaja wasanii wa 3-5 Bora hakosi

Jamaa ameishi Era zote tangu ameanza kuimba mziki wa bongo Flava, kwahiyo kuja kutaka kuaminisha watu kuwa Kiba bila Diamond hakuna kitu utakuwa na Akili za kushikiwa au ndio uchawa wenyewe huo

Watakuja wasanii kibao na watamuach kwa Sababu jamaa ana identity yake kwenye industry na ana mashabiki zake asilimia kubwa ni wale wale alioanza nao way back
Umeandika uongo wa Hali ya juu Sana, danganya watoto wa juzi kati Ila sisi tuliokuepo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 pindi alikiba anatoka niseme tu wazi Alikiba hakuwahi kua msanii mkubwa wa kusifiwa na kuimbwa kama ilivotokea baada ya yeye kushindanishwa na Diamond na bila hivo hakuna ambaye angekua anamtaja hata!

Alikiba ni msanii mzuri huo ndo ukweli Ila kabla ya ujio wa Chibu hakuwahi kua kwenye trending kiasi hicho kama unabisha turudi miaka hiyo lini Alikiba alikua staa namba moja hapa bongo kabla ya diamond???

Ngoja nikukumbushe kitu kuanzia miaka ya 2000/10 alikiba hata asingeweza kutajwa katika wasanii watatu Bora wanafanya poa hapo walikuepo MB Doggy na Matonya ndo walitawala soko mwishoni mwishoni ndo akaja Marlow....

Lakini hicho kipindi Alikiba alikuepo na ndo alikua anatoa Ngoma nzuri Sana sasa jiulize ilikuaje akawa anachukuliwa kama msanii mzuri wa kawaida Ila baada ya lile bifu lake na diamond nazani ilikua 2014 hivo ndipo Alikiba alipata umaarufu ambao hata yeye mwenyewe hua anashangaa [emoji28]

Kama angekua Bora kiasi hicho basi angekuaga msanii Bora namba moja enzi zile Diamond hajatoka....

Kama kuna mtu kafaidika na ujio wa diamond basi ni Alikiba... Na hii ilisababishwa na chuki Tu za watu flani Kwa Diamond baada ya kuona jamaa anaanza kua mkubwa kuliko walivotaka...
 
Umeandika uongo wa Hali ya juu Sana, danganya watoto wa juzi kati Ila sisi tuliokuepo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 pindi alikiba anatoka niseme tu wazi Alikiba hakuwahi kua msanii mkubwa wa kusifiwa na kuimbwa kama ilivotokea baada ya yeye kushindanishwa na Diamond na bila hivo hakuna ambaye angekua anamtaja hata!

Alikiba ni msanii mzuri huo ndo ukweli Ila kabla ya ujio wa Chibu hakuwahi kua kwenye trending kiasi hicho kama unabisha turudi miaka hiyo lini Alikiba alikua staa namba moja hapa bongo kabla ya diamond???

Ngoja nikukumbushe kitu kuanzia miaka ya 2000/10 alikiba hata asingeweza kutajwa katika wasanii watatu Bora wanafanya poa hapo walikuepo MB Doggy na Matonya ndo walitawala soko mwishoni mwishoni ndo akaja Marlow....

Lakini hicho kipindi Alikiba alikuepo na ndo alikua anatoa Ngoma nzuri Sana sasa jiulize ilikuaje akawa anachukuliwa kama msanii mzuri wa kawaida Ila baada ya lile bifu lake na diamond nazani ilikua 2014 hivo ndipo Alikiba alipata umaarufu ambao hata yeye mwenyewe hua anashangaa [emoji28]

Kama angekua Bora kiasi hicho basi angekuaga msanii Bora namba moja enzi zile Diamond hajatoka....

Kama kuna mtu kafaidika na ujio wa diamond basi ni Alikiba... Na hii ilisababishwa na chuki Tu za watu flani Kwa Diamond baada ya kuona jamaa anaanza kua mkubwa kuliko walivotaka...
Unajua kujenga hoja
 
Umeandika uongo wa Hali ya juu Sana, danganya watoto wa juzi kati Ila sisi tuliokuepo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 pindi alikiba anatoka niseme tu wazi Alikiba hakuwahi kua msanii mkubwa wa kusifiwa na kuimbwa kama ilivotokea baada ya yeye kushindanishwa na Diamond na bila hivo hakuna ambaye angekua anamtaja hata!

Alikiba ni msanii mzuri huo ndo ukweli Ila kabla ya ujio wa Chibu hakuwahi kua kwenye trending kiasi hicho kama unabisha turudi miaka hiyo lini Alikiba alikua staa namba moja hapa bongo kabla ya diamond???

Ngoja nikukumbushe kitu kuanzia miaka ya 2000/10 alikiba hata asingeweza kutajwa katika wasanii watatu Bora wanafanya poa hapo walikuepo MB Doggy na Matonya ndo walitawala soko mwishoni mwishoni ndo akaja Marlow....

Lakini hicho kipindi Alikiba alikuepo na ndo alikua anatoa Ngoma nzuri Sana sasa jiulize ilikuaje akawa anachukuliwa kama msanii mzuri wa kawaida Ila baada ya lile bifu lake na diamond nazani ilikua 2014 hivo ndipo Alikiba alipata umaarufu ambao hata yeye mwenyewe hua anashangaa [emoji28]

Kama angekua Bora kiasi hicho basi angekuaga msanii Bora namba moja enzi zile Diamond hajatoka....

Kama kuna mtu kafaidika na ujio wa diamond basi ni Alikiba... Na hii ilisababishwa na chuki Tu za watu flani Kwa Diamond baada ya kuona jamaa anaanza kua mkubwa kuliko walivotaka...
Hapa ada wazazi wako wangeinywea bia
 
Umeandika uongo wa Hali ya juu Sana, danganya watoto wa juzi kati Ila sisi tuliokuepo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 pindi alikiba anatoka niseme tu wazi Alikiba hakuwahi kua msanii mkubwa wa kusifiwa na kuimbwa kama ilivotokea baada ya yeye kushindanishwa na Diamond na bila hivo hakuna ambaye angekua anamtaja hata!

Alikiba ni msanii mzuri huo ndo ukweli Ila kabla ya ujio wa Chibu hakuwahi kua kwenye trending kiasi hicho kama unabisha turudi miaka hiyo lini Alikiba alikua staa namba moja hapa bongo kabla ya diamond???

Ngoja nikukumbushe kitu kuanzia miaka ya 2000/10 alikiba hata asingeweza kutajwa katika wasanii watatu Bora wanafanya poa hapo walikuepo MB Doggy na Matonya ndo walitawala soko mwishoni mwishoni ndo akaja Marlow....

Lakini hicho kipindi Alikiba alikuepo na ndo alikua anatoa Ngoma nzuri Sana sasa jiulize ilikuaje akawa anachukuliwa kama msanii mzuri wa kawaida Ila baada ya lile bifu lake na diamond nazani ilikua 2014 hivo ndipo Alikiba alipata umaarufu ambao hata yeye mwenyewe hua anashangaa [emoji28]

Kama angekua Bora kiasi hicho basi angekuaga msanii Bora namba moja enzi zile Diamond hajatoka....

Kama kuna mtu kafaidika na ujio wa diamond basi ni Alikiba... Na hii ilisababishwa na chuki Tu za watu flani Kwa Diamond baada ya kuona jamaa anaanza kua mkubwa kuliko walivotaka...
Ulitaka awe mkubwa namna gani Mtu anayechipukia?
Hakujawahi kuwa na Kitu kinachoitwa msanii "namba moja", na hakitakuja tokea. Kwani kila mtu ana masikio yake na analist yake.Ila kunaweza kuwepo Kundi la wasanii wenye wafuasi na mashabiki wengi.
Alikiba amekuwepo kwenye hili Kundi toka anaanza mpaka kesho.
Alikiba anamtegemea Mondi? Na mpo serious?
So ni Mondi aliandika Mac Muga, Single boy etc, mapenzi yanarun dunia etc?

Kama Cinderella haikuwa hit iliyosumbua tuambie basi ni ngoma ipi iliyosumbua.
Kama Alikiba wa Nakshi Nakshi na Mac Muga sio top tier, tuambie basi hao waliokuwa zaidi yake ni wangapi na ni kina nani.
 
Ulitaka awe mkubwa namna gani Mtu anayechipukia?
Hakujawahi kuwa na Kitu kinachoitwa msanii "namba moja", na hakitakuja tokea. Kwani kila mtu ana masikio yake na analist yake.Ila kunaweza kuwepo Kundi la wasanii wenye wafuasi na mashabiki wengi.
Alikiba amekuwepo kwenye hili Kundi toka anaanza mpaka kesho.
Alikiba anamtegemea Mondi? Na mpo serious?
So ni Mondi aliandika Mac Muga, Single boy etc, mapenzi yanarun dunia etc?

Kama Cinderella haikuwa hit iliyosumbua tuambie basi ni ngoma ipi iliyosumbua.
Kama Alikiba wa Nakshi Nakshi na Mac Muga sio top tier, tuambie basi hao waliokuwa zaidi yake ni wangapi na ni kina nani.
Wewe unamzungumza Alikiba wa zamani uko wakati jamaa anazungumzia Alikiba baada ya kupumzika miaka 3 hivi nazani anazungumzia wa kuanzia 2014 n.k alivyorudi kwenye game ni ngumu kuelewana kati yenu
 
Wewe unamzungumza Alikiba wa zamani uko wakati jamaa anazungumzia Alikiba baada ya kupumzika miaka 3 hivi nazani anazungumzia wa kuanzia 2014 n.k alivyorudi kwenye game ni ngumu kuelewana kati yenu
Kwanini asimpe promo Ferouz, au Mwanae Dudu Baya why Alikiba?
Promo ingemsaidia sana Queen darlin au Lavalava.
 
Kwanini asimpe promo Ferouz, au Mwanae Dudu Baya why Alikiba?
Promo ingemsaidia sana Queen darlin au Lavalava.
Hajasema Alikiba ni msanii mbaya,ila anachozungumzia kwa kiasi kikubwa kiba amerudi kwenye game baada ya kushindanishwa na diamond maana baada ya kiba kupumzika msanii aliyekuwa kinara ni Diamond ila baada yakuja na promo ya bifu na diamond ikamfanya atengeneze attention na watu kumfuatilia
 
Hajasema Alikiba ni msanii mbaya,ila anachozungumzia kwa kiasi kikubwa kiba amerudi kwenye game baada ya kushindanishwa na diamond maana baada ya kiba kupumzika msanii aliyekuwa kinara ni Diamond ila baada yakuja na promo ya bifu na diamond ikamfanya atengeneze attention na watu kumfuatilia
If alitoboa bila promo wakati anaanza sidhani kama anamtegemea mtu ili abaki relative.
Kama ni bifu na kushindanishwa, Angekuwa Mkubwa Bell 9, Dimpoz, na Bob junior. Maana hao wote walikuwa na Bifu na Mond na Halikuwasaidia chochote.
 
If alitoboa bila promo wakati anaanza sidhani kama anamtegemea mtu ili abaki relative.
Kama ni bifu na kushindanishwa, Angekuwa Mkubwa Bell 9, Dimpoz, na Bob junior. Maana hao wote walikuwa na Bifu na Mond na Halikuwasaidia chochote.
Wote hao uliowataja walifanya vizuri ila walidrop baada kutojihusisha na diamond kabisa kwenye ushindani. Ukitaka kujua hilo angalia kwa Harmonize pia. Alikiba unayemzungumzia wewe ni wa zamani nadhani wewe ni mwenga ndio alikuwa top ila baada ya kupumzika soko lake likadrop akarudi kupitia mgongo wa Diamond ambapo alikuwa yupo top kama unakubumbu vizuri ndio team za music zikaanza kuzaliwa na clouds media waliipromote sana hii bifu
 
Umeandika uongo wa Hali ya juu Sana, danganya watoto wa juzi kati Ila sisi tuliokuepo tangu mwanzoni mwa miaka ya 2000 pindi alikiba anatoka niseme tu wazi Alikiba hakuwahi kua msanii mkubwa wa kusifiwa na kuimbwa kama ilivotokea baada ya yeye kushindanishwa na Diamond na bila hivo hakuna ambaye angekua anamtaja hata!

Alikiba ni msanii mzuri huo ndo ukweli Ila kabla ya ujio wa Chibu hakuwahi kua kwenye trending kiasi hicho kama unabisha turudi miaka hiyo lini Alikiba alikua staa namba moja hapa bongo kabla ya diamond???

Ngoja nikukumbushe kitu kuanzia miaka ya 2000/10 alikiba hata asingeweza kutajwa katika wasanii watatu Bora wanafanya poa hapo walikuepo MB Doggy na Matonya ndo walitawala soko mwishoni mwishoni ndo akaja Marlow....

Lakini hicho kipindi Alikiba alikuepo na ndo alikua anatoa Ngoma nzuri Sana sasa jiulize ilikuaje akawa anachukuliwa kama msanii mzuri wa kawaida Ila baada ya lile bifu lake na diamond nazani ilikua 2014 hivo ndipo Alikiba alipata umaarufu ambao hata yeye mwenyewe hua anashangaa [emoji28]

Kama angekua Bora kiasi hicho basi angekuaga msanii Bora namba moja enzi zile Diamond hajatoka....

Kama kuna mtu kafaidika na ujio wa diamond basi ni Alikiba... Na hii ilisababishwa na chuki Tu za watu flani Kwa Diamond baada ya kuona jamaa anaanza kua mkubwa kuliko walivotaka...
Aisee kama ulikuwa upo kwenye mawazo yangu.

Hii mada ndio nilipanga niianzishe baada ya reply ya huyo jamaa.

Kwa kifupi Ali Kiba ameanza kutoka kwenye 2005 kama sio 2006 .

Miaka ya 2005 kushuka chini ,Juma Nature ndiye msanii aliyesumbua sana wakiwema akina Ferooz na crew nzima ya Daz nundaz kiujumla ,akina Dully Sykes ,Blue nk

2005-2008 hapa tunawapata akina Matonya ,Marlow ,Mb dog ,Z Anto,Noorah ,Suma lee nk
Ally Kiba alikuwepo ila hakuwa mkubwa kihivyo japo nyimbo zake baadhi zilifanya poa na akapotea kabisa

2009 -2010 hapa ilikuwa Diamond Platinumz anatoka toka pamoja na Bell 9.

2010- Hapa Diamond ,Rich Mavoko nk.

Ally Kiba anakuja kuibuka 2013 huko tena kupitia Diamond maana kipindi hicho wameshamshindanisha na wengi lakini wote walishindwa kufua dafu (Mf belle 9, rich Mavoko nk)
Kwa hiyo Kiba anakuja kuibuka kwa kupitia tu mgongo wa Diamond kama ilivyo hivi sasa walivyotaka kumshindanisha Diamond na Chino Kid.

Kiufupi Kiba bila Diamond hatoboi
 
Ajabu sana kuona mada kama hii, ilhali Alikiba aliwahi kutamba kabla ya uwepo wa Diamond sasa sijui kitambo hicho alikuwa anabebwa na nani

Alikiba alikuwa anatamba tangu enzi mziki wa tz umetawaliwa na Hip hop, za akina Sir nature,prof jay,Daz nunda,mandojo na domokaya na wabana pua wachache kina Dully Skye's,Mr Paul,Jaydee,Banana zoro nk

Akaja kwa kina makamua,Q jay,marlaw,PNC, Tunda man,
Joslin,Matonya,Pasha,belly white and black,Dullayo nk

Wakamkuta kina belle 9, Diamond,Jux,Top c,Timbulo,Mo music,ommy dimpoz,Top c,Sam wa ukweli nk

Wakaja kina Rayvany,konde,Marioo,Jay melody na madogo wengi wenye mabalaa ila Kiba he's still there, na kila zama alizokuwepo ukitaja wasanii wa 3-5 Bora hakosi

Jamaa ameishi Era zote tangu ameanza kuimba mziki wa bongo Flava, kwahiyo kuja kutaka kuaminisha watu kuwa Kiba bila Diamond hakuna kitu utakuwa na Akili za kushikiwa au ndio uchawa wenyewe huo

Watakuja wasanii kibao na watamuach kwa Sababu jamaa ana identity yake kwenye industry na ana mashabiki zake asilimia kubwa ni wale wale alioanza nao way back
Pia dulyskes alikuwa juu ya alikiba .hebu think
 
Zimebaki siku chache mwezi huu wa July uishe.

Hivyo basi Ally Kiba autumie huu mwezi vizuri kabla Diamond hajaondoa msaada wake.

Diamond Platinumz huwa anamjibu Ally Kiba Ili angalau kum boost kwenye muziki wake.

Nyinyi wenyewe ni mashahidi , Diamond akiachaga tu kujibizana na Ally Kiba, Ally Kiba huwa anapotea .

Miaka michache ya nyuma Diamond alipoamua kuwa kimya Kiba aliishiwa pumzi kabisa kila akitoa ngoma inabuma mwisho wa siku akapigwa gape kubwa sana na wasanii wengi mfano Mboso, Rayvan ,Harmonize, Marioo, Jux nk.

Diamond kwa huruma na moyo wa upendo alionao akaona ngoja amsaidie swahiba wake wa siku nyingi asije akapotea kabisa kwenye game.

Kama kumbukumbu zenu zipo vizuri nyimbo nyingi za Kiba zilizofanya vizuri ni zile ambazo alipewa msaada na Diamond mfano wimbo kama "MWANA" kipindi unatoka ulipata nguvu kupitia wimbo wa "KITORONDO" na nyimbo zake zingine za hovyo hovyo zilizofatia zilipata nguvu kwa kupitia mgongo wa Diamond.

Ukitaka kuamini Kiba si lolote Wala chochote , Diamond alipokuja na Wasafi Festival na kufanya vizuri Kiba akataka na yeye eti atembelee huo upepo na yeye aje na Festival yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kilichotokea nadhani wenyewe mnakijua, ile Festival ingekuwa na nguvu kama tu Diamond angeamua kumpa sapoti kinyume na hapo wenyewe mashahidi festival ya Kiba ilidoda vibaya sana

Sasa basi booster aliyopewa inatosha ,tunataka kumuona Kiba akisimama kwa miguu yake mwenyewe kama kweli anaweza bila kutegemea kupitia Diamond.

Mashabiki wa Kiba mfikishieni taarifa ndugu yenu autumie vizuri huu mwezi hatutaki lawama hii sapoti tunayompa asitegemee tutampa kila siku.
Jaribu na wewe uone mambo yalivyo magumu. Acha tu!!!
 
Ulitaka awe mkubwa namna gani Mtu anayechipukia?
Hakujawahi kuwa na Kitu kinachoitwa msanii "namba moja", na hakitakuja tokea. Kwani kila mtu ana masikio yake na analist yake.Ila kunaweza kuwepo Kundi la wasanii wenye wafuasi na mashabiki wengi.
Alikiba amekuwepo kwenye hili Kundi toka anaanza mpaka kesho.
Alikiba anamtegemea Mondi? Na mpo serious?
So ni Mondi aliandika Mac Muga, Single boy etc, mapenzi yanarun dunia etc?

Kama Cinderella haikuwa hit iliyosumbua tuambie basi ni ngoma ipi iliyosumbua.
Kama Alikiba wa Nakshi Nakshi na Mac Muga sio top tier, tuambie basi hao waliokuwa zaidi yake ni wangapi na ni kina nani.
Hizo ngoma kipindi zinatoka kulikuwa na ngoma nyingine kali kuzidi hizo.
Mfano Bembeleza, Binti Kiziwi, Vaileth, Mbayuwayu, Mpenzi Jini, Si uliniambia nk.
 
Zimebaki siku chache mwezi huu wa July uishe.

Hivyo basi Ally Kiba autumie huu mwezi vizuri kabla Diamond hajaondoa msaada wake.

Diamond Platinumz huwa anamjibu Ally Kiba Ili angalau kum boost kwenye muziki wake.

Nyinyi wenyewe ni mashahidi , Diamond akiachaga tu kujibizana na Ally Kiba, Ally Kiba huwa anapotea .

Miaka michache ya nyuma Diamond alipoamua kuwa kimya Kiba aliishiwa pumzi kabisa kila akitoa ngoma inabuma mwisho wa siku akapigwa gape kubwa sana na wasanii wengi mfano Mboso, Rayvan ,Harmonize, Marioo, Jux nk.

Diamond kwa huruma na moyo wa upendo alionao akaona ngoja amsaidie swahiba wake wa siku nyingi asije akapotea kabisa kwenye game.

Kama kumbukumbu zenu zipo vizuri nyimbo nyingi za Kiba zilizofanya vizuri ni zile ambazo alipewa msaada na Diamond mfano wimbo kama "MWANA" kipindi unatoka ulipata nguvu kupitia wimbo wa "KITORONDO" na nyimbo zake zingine za hovyo hovyo zilizofatia zilipata nguvu kwa kupitia mgongo wa Diamond.

Ukitaka kuamini Kiba si lolote Wala chochote , Diamond alipokuja na Wasafi Festival na kufanya vizuri Kiba akataka na yeye eti atembelee huo upepo na yeye aje na Festival yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣kilichotokea nadhani wenyewe mnakijua, ile Festival ingekuwa na nguvu kama tu Diamond angeamua kumpa sapoti kinyume na hapo wenyewe mashahidi festival ya Kiba ilidoda vibaya sana

Sasa basi booster aliyopewa inatosha ,tunataka kumuona Kiba akisimama kwa miguu yake mwenyewe kama kweli anaweza bila kutegemea kupitia Diamond.

Mashabiki wa Kiba mfikishieni taarifa ndugu yenu autumie vizuri huu mwezi hatutaki lawama hii sapoti tunayompa asitegemee tutampa kila siku.
chai
 
Back
Top Bottom