Pre GE2025 Bila kura za Kanda ya Ziwa, CCM inaweza kubaki madarakani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
πŸŒ€οΈπŸ™‹β€β™‚οΈπŸŽ―βœοΈπŸ‘πŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ‘ŒπŸ™
 
Kanda ya ziwa insonwspiga kura wangapi, weka namba hapa otherwise ni bla bla.
 
usi mind mkuu ukiona mkurupuko wowote au hasira yoyote juu ya hili andko jua n mccm tu uyo
 
Chama kikongwe hatutegemei kura tunategemea maelezo aliyoyatoa Nape Bukoba mkoani Kagera .
 
Labda kama sijaelewa ni makamba yupi huyo uliyeandika "Magwiji kama Makamba"

Yaani gwiji wa siasa za Tanzania awe Makamba ni yupi yule bwana mdogo au mzee wa kutengwa?.
 
Kwa uchaguzi halisi kabisa ambao mshindi anapatikana kwa kura halali toka kwa wapiga kura hakuna chama kinaweza kutoboa bila kuungwa mkono na kanda ya ziwa. Lakini CCM hii haitegemei tena kura kujitangaza kuwa imeshinda ushindi wa kishindo kwa 99%. CCM siyo chama cha siasa tena bali ni chama dola. Kwa Tume hii na sheria hizi na Katiba hii inayotoa kinga kwa wezi wa kura kwa ibara inayosema mgombea wa Urais akishatangazwa na mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi kuwa ameshinda hakuna mamlaka yoyote inayoweza kuhoji ni dhahiri CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa njia ya sanduku la kura.
 
Acha ukabila na ukanda hautakusaidia lolote.
 
Acha ukabila na ukanda hautakusaidia lolote.
Acha unafiki kujifanya hakuna ukabila wakati upo. Mlizoea kumtuhumu Magufuli kupendela kanda ya ziwa sawa na ambavyo Samia sasa anapendelea Visiwani. Mnadhani hatuoni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…