Dokta Uchwara
JF-Expert Member
- Apr 29, 2022
- 1,370
- 3,152
Bila ungangari wa kile chuma, tusingesalimika na maigizo yanayoendelea duniani ya magonjwa na machanjo ya ajabu ajabu.
Mara corona, mara sijui monkeypox, mara nini!
Kwa misingi ile ya ungangari aliyoiweka, hata aliyemfuatia anaogopa kufanya jambo la kipuuzi kwa kuhofia kusutwa na wananchi waliozielewa zile falsafa.
Yale machanjo siku hizi siyasikii, sijui wameyafukia wapi?
Wakati wa corona, Kila mtu alijificha uvunguni akichungulia kwenye kitobo akihofia kunyukwa na mabeberu, lakini yule mzee hakuogopa lolote licha ya kushambuliwa kila kona na vibaraka waliopewa vibiskuti.
Najua kuna wale vinyamkera wachache wasio na elimu watakuja hapa kumwaga mitusi bila tafakuri.
Nchi ilisalimika kwenye vifungo vya lockdowns na machanjo ya hovyo hovyo kwa sababu ya Magufuli.
Mpaka sasa tunaenda vizuri kwa sababu ya misingi hiyo ya UTAMBUZI.
Machanjo yamepotelea kusikojulikana.
Uzalendo. Uthubutu. Uhodari.
Mara corona, mara sijui monkeypox, mara nini!
Kwa misingi ile ya ungangari aliyoiweka, hata aliyemfuatia anaogopa kufanya jambo la kipuuzi kwa kuhofia kusutwa na wananchi waliozielewa zile falsafa.
Yale machanjo siku hizi siyasikii, sijui wameyafukia wapi?
Wakati wa corona, Kila mtu alijificha uvunguni akichungulia kwenye kitobo akihofia kunyukwa na mabeberu, lakini yule mzee hakuogopa lolote licha ya kushambuliwa kila kona na vibaraka waliopewa vibiskuti.
Najua kuna wale vinyamkera wachache wasio na elimu watakuja hapa kumwaga mitusi bila tafakuri.
Nchi ilisalimika kwenye vifungo vya lockdowns na machanjo ya hovyo hovyo kwa sababu ya Magufuli.
Mpaka sasa tunaenda vizuri kwa sababu ya misingi hiyo ya UTAMBUZI.
Machanjo yamepotelea kusikojulikana.
Uzalendo. Uthubutu. Uhodari.