Bila Magufuli tungesalimika magonjwa na chanjo zinazoendelea duniani?

Bila Magufuli tungesalimika magonjwa na chanjo zinazoendelea duniani?

Mleta mada acha upunguani wako na ujinga ulipitiliza!
Unajua tulipoteza ndugu zetu wengi kwa ujinga na ulimbukeni wa huyu mtu wenu?
Unajua tungelichukua hatua kama wenzetu tusingepoteza watu wengi kiasi kile?
Unajua kuna nyumba watoto wamebaki yatima kwa ugonjwa ule?
Halafu bila aibu unasema eti 'bila kile chuma' sasa 'chuma' chenu kimeliwa na kutu! pambaf!
Labda nyumba yenu tu we kibwengo je huyu malaika wenu kafanya nn cha ziada
 
Mleta mada acha upunguani wako na ujinga ulipitiliza!
Unajua tulipoteza ndugu zetu wengi kwa ujinga na ulimbukeni wa huyu mtu wenu?
Unajua tungelichukua hatua kama wenzetu tusingepoteza watu wengi kiasi kile?
Unajua kuna nyumba watoto wamebaki yatima kwa ugonjwa ule?
Halafu bila aibu unasema eti 'bila kile chuma' sasa 'chuma' chenu kimeliwa na kutu! pambaf!
Kwanini wafe ndugu zako tuu wewe usife?
 
Hata akina Ben Mkapa, Agustino Mahiga, John Kijazi, Lwakatare, Ndassa, Maalim Seif ni hiyo hiyo COVID 19 ndiyo iliyowaua.

Jamii ya Kitanzania ilivyo illiterate eti wanampongeza kwa uzembe huu! Serious??
Uliwapima?

We jinga kweli, wanaokufa sasa wanakufa na nini?

Acha ubwege dogo
 
Kitu kilichoisaidia Tanzania na baadhi ya Nchi nyingi tu ni idadi kubwa ya watu katika nchi hizi ni vijana ambao immune system zao bado ni strong zikaweza kupambana na Hao corona virus na kuweza kutengeneza herd immune iliyosaidia vifo kupungua !! Lakini pia idadi ya wazee nchini sio kubwa sana! Hata hivyo wazee wengi tu walifariki ! Na kingine kilichosaidia huku Africa muda mwingi katika siku nzima watu wanafanya shughuli zao nje yaani outdoors sehemu kuna upepo mwingi ambao unasaidia kupunguza maambukizi !! Zipo factors nyingi zilizosaidia lakini watu wengi sana waliambukizwa na baadhi yao walifariki wengi wao wakiwa na umri wa miaka 60 na kuendelea !!
Asante mzeewaSHY kwa kuliweka kutaalamu.

Waache wajinga waendelee kusema ni Magufuli
 
Mnachosha sana tuacheni tupumzike.
Yeye yuko wapi na Ungangari wake.

Za kuambiwa changanya na za kwako.
 
Huu Uzi niwa kupeana vitasa ,ngoja mi nikae mbali!![emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Dogo, hata wewe utavuta Kama jiwe alivovuta, it's only a matter of time, usikejeli kifo dogo.
Nafikiri yule jamaa alivyokuwa katili alikuwa akifurahia watu wanavyokufa! Kwa ushenzi na ukatili ule aliua watu wengi sana!
 
Huo ndo ukweli.Watanzania tuliokoka na vifungo vya covid mara sijui omicron,Kwa sadaka aliyojitoa magufuli.Hilo liko wazi kabisa.
Kapime akili yako haiko sawa, tena utajikuta unapigwa pingu na break ya kwanza ni mirembe!
 
Back
Top Bottom