Bila Magufuli tungesalimika magonjwa na chanjo zinazoendelea duniani?

Bila Magufuli tungesalimika magonjwa na chanjo zinazoendelea duniani?

Oyaaa, kubalini basi kuwa msela ni marehemu
Sawa lakini atabaki kuwa shujaa wa Taifa!! Ndani ya miaka mitano akatuingiza uchumi wa kati, makao makuu yaliyokuwa yameshindikana kuhamia dodoma yakawezekana kuhamia dodoma, mradi wa bwawa la kufua umeme (Stigler's George) ukaanza kwa nguvu, reli standard gauge ikaanza kwa kishindo!!! Hii miradi ilikuwepo miaka mingi lakini hakuna aliyekuwa na ubavu wa kuianzisha na kuiendeleza!! Mchukie utakavyo lakini alama ya maendeleo aliyotuachia haifutiki kamwe!!
 
Yale machanjo yame expire kuna jamaa huko Zenji alichanjwa wacha augue alafu ni mtu ambaye umri wake mkubwa yupo kwenye 70. Watu wa Tanzania wanasifiwa duniani kwa kumdharau JPM lakini wazungu wanajua ukweli kwamba yule bwana ni mwamba tena jiwe
 
Yale machanjo yame expire kuna jamaa huko Zenji alichanjwa wacha augue alafu ni mtu ambaye umri wake mkubwa yupo kwenye 70. Watu wa Tanzania wanasifiwa duniani kwa kumdharau JPM lakini wazungu wanajua ukweli kwamba yule bwana ni mwamba tena jiwe
Wanaombeza ni wachache sana, namba hazidanganyi.
 
Sina chama ila. MAGUFULI WAS THE BEST PRESIDENT WE HAVE EVER HAD.
Mapungufu kawaida kila mtu anayo hata mimi nawewe.
 
Tujenge imani na viongozi wetu wadau. Mama tumsupport sisi kama vijana.
 
Back
Top Bottom