Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,657
- 20,967
Kila sehemu walikoenda, lengo kuu la wazungu ilikuwa na kuanzisha makazi napya na kuangamiza jamii ya hapo.
Wamewaangamiza wa Aborigines wa Australia hadi wamebaki wa kuhesabu. Huko Amerika wamewaangamiza Wahindi Wekundu na leo Wahindi Wekundu ni wa kuhesabu hapa na pale.
Walitumia magonjwa na silaha. Mfano , huko Amerika kulikuwa hakuna mahonjwa kama typhoid, ndui, magonjwa fulani ya zinaa nk. Walivyoingia wakapeleka ndui, typhoid nk. Wahindi Wekundu walikufa kama kumbikumbi. Leo asilimia kubwa ya bara lile ni wazungu.
Kwetu Afrika walikuwa na lengo hilohilo lakini walishindwa sababu ya magonjwa ya kitropiki, hasa Malaria. Muafrika amejenga kinga ya malaria miaka na miaka lakini mzungu ilimuua kirahisi sana. Wale waliojaribu kuweka makazi ya kudumu walishindwa sababu ya malaria.
Nafikiri tuna sababu ya kuushukuru huu ugonjwa.
Wamewaangamiza wa Aborigines wa Australia hadi wamebaki wa kuhesabu. Huko Amerika wamewaangamiza Wahindi Wekundu na leo Wahindi Wekundu ni wa kuhesabu hapa na pale.
Walitumia magonjwa na silaha. Mfano , huko Amerika kulikuwa hakuna mahonjwa kama typhoid, ndui, magonjwa fulani ya zinaa nk. Walivyoingia wakapeleka ndui, typhoid nk. Wahindi Wekundu walikufa kama kumbikumbi. Leo asilimia kubwa ya bara lile ni wazungu.
Kwetu Afrika walikuwa na lengo hilohilo lakini walishindwa sababu ya magonjwa ya kitropiki, hasa Malaria. Muafrika amejenga kinga ya malaria miaka na miaka lakini mzungu ilimuua kirahisi sana. Wale waliojaribu kuweka makazi ya kudumu walishindwa sababu ya malaria.
Nafikiri tuna sababu ya kuushukuru huu ugonjwa.