Bila Neymar Jr, PSG anamtoa Real Madrid mapema tu!!

Bila Neymar Jr, PSG anamtoa Real Madrid mapema tu!!

Mleta uzi umeongea facts kabisa. Mimi nishasema kile kitoto cha mama hakifai kabisa. I'm so happy kutokuwepo mechi muhimu ya leo.

So nna matumaini makubwa sana na Fundi machachari ANGEL DI MARIA, ila sio yule mayai

Psg 2-0 Madrid
Umemuona huyo di Maria [emoji12] [emoji12] [emoji14]
Ushabiki mwingine bhana
 
Mechi ya kwanza tatizo lilikuwa na utoto wa Neymar Jr kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu naa kuigharimu timu yake. Ila kwa leo kwa kuwa hayupo, nina imani asilimia 90, nafasi yake akipangwa winga machachari Angel Di Maria, halafu asaidiane na Mbappe na Edinson Cavani basi leo Bingwa Mtetezi Madrid anatolewa mapema tu.

Pale kwenye idara ya kiungo kuna umuhimu wa kuanza kwa mkongwe Thiago Motta kama kiungo mkabaji ili kutoa fursa kwa Kiungo mshambulizi Marco Verratti kusogea mbele akishirikiana na bwana mdogo Adrien Rabiot.

Pia Mwalimu Unai Emery ili anogeshe furaha ya Ushindi leo hana budi kumpa nafasi kiongozi na nahodha Thiago Silva asaidieane na Marquinhos, hakika Real Madrid atakufa mapema tu tena 3-0.
5a9dbe2e7a422.jpeg


Tukutane Saa 4:45 Usiku kwa majira ya Afrika Mashariki na Kati!!
haya mzee tuletee mrejesho hapa
 
Mechi ya kwanza tatizo lilikuwa na utoto wa Neymar Jr kupiga chenga zisizo na faida kwenye timu naa kuigharimu timu yake. Ila kwa leo kwa kuwa hayupo, nina imani asilimia 90, nafasi yake akipangwa winga machachari Angel Di Maria, halafu asaidiane na Mbappe na Edinson Cavani basi leo Bingwa Mtetezi Madrid anatolewa mapema tu.

Pale kwenye idara ya kiungo kuna umuhimu wa kuanza kwa mkongwe Thiago Motta kama kiungo mkabaji ili kutoa fursa kwa Kiungo mshambulizi Marco Verratti kusogea mbele akishirikiana na bwana mdogo Adrien Rabiot.

Pia Mwalimu Unai Emery ili anogeshe furaha ya Ushindi leo hana budi kumpa nafasi kiongozi na nahodha Thiago Silva asaidieane na Marquinhos, hakika Real Madrid atakufa mapema tu tena 3-0.
5a9dbe2e7a422.jpeg


Tukutane Saa 4:45 Usiku kwa majira ya Afrika Mashariki na Kati!!
Helooo, habari za usiku? Una hali gani ndugu yetu? Unaendeleaje? Najua roho inakuuma sana, ha ha haaaa. Pole sana.😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom