Bila Ronaldo, hakuna mashabiki Real Madrid

Je, hili jambo linaweza kupelekea kushuka morali kwa wachezaji na kusababisha timu kufanya vibaya?

  • Ndiyo

  • Hapana


Results are only viewable after voting.
Bora na mara Mia angezeeka kuliko kuuzwa ndo maana wanapata tabu Sana na mapato yanashuka kwa Kasi Kama water fall ok,ko be careful with your heart
 
Povu la nn ukweli huo hapo details zote ww mwenyewe unazo kwamba wahudhuliaji wamepungua nn tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah CR7 ana umuhimu wake,hao wanaosema hata kabla ya CR7 madrid ilikua bora wakumbuke kuwa baada ya CR7 kuingia madrid ikawa bora zaidi

Ila upungufu wa mashabiki umeletwa na kutokusajili mshambuliaji makini wa kuziba pengo la CR7. Akija mshambuliaji matata mashabiki watarudi kama kawaida.

Usajili muhimu sana kwa madrid waliopo hawawezi ziba nafasi ya Ronaldo.
 
Umuhmu wa mtu huonekana pale anapotoweka au kuondoka sehem, Cyo siri Ronaldo ndio alikuwa anaipa jina Madrid.

Sent using Jamii Forums mobile app
madrid ni klabu kubwa na yenye mafanikio na tajiri kabla ya ronaldo kusajiliwa pale, so kusema ronaldo kaipa jina madrid ni kulidhalilisha soka na wafuasi wake, kwa uungwana tu naomba utuombe radhi watu wa mpira
 
madrid ni klabu kubwa na yenye mafanikio na tajiri kabla ya ronaldo kusajiliwa pale, so kusema ronaldo kaipa jina madrid ni kulidhalilisha soka na wafuasi wake, kwa uungwana tu naomba utuombe radhi watu wa mpira
Usijifanye kichwa kigumu kuelewa somo,RMA bila Cr7 is nothing,ok ko be careful with your heart my brother.
 
Mashabiki wa juzi wa mipira utawajua tu.

Ni akili za ubovu wa hali ya juu kfikiria kua Real MAdrid itapoteza Umaarufu na uwezo kwa sababu ya kuondoka kwa Ronaldo.
Real ndio iliomsaidia Ronaldo na si Ronaldo alieisaidia Real.
 
Mashabiki wa juzi wa mipira utawajua tu.

Ni akili za ubovu wa hali ya juu kfikiria kua Real MAdrid itapoteza Umaarufu na uwezo kwa sababu ya kuondoka kwa Ronaldo.
Real ndio iliomsaidia Ronaldo na si Ronaldo alieisaidia Real.
Nenda mirembe kwa kuandika utumbo wa uchizi,no RMA without Cr7,but there is Cr7c without RMA,ok my brother be careful with your heart.
 
madrid ni klabu kubwa na yenye mafanikio na tajiri kabla ya ronaldo kusajiliwa pale, so kusema ronaldo kaipa jina madrid ni kulidhalilisha soka na wafuasi wake, kwa uungwana tu naomba utuombe radhi watu wa mpira
Mkuu mashabiki maandazi utawajua tu,alikuwepo Ronaldo original,Figo, Zidane,Raul wakaondoka Madrid ikabaki,leo huyo Mwanamitindo ndiyo aipunguzie umaarufu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mashabiki maandazi utawajua tu,alikuwepo Ronaldo original,Figo, Zidane,Raul wakaondoka Madrid ikabaki,leo huyo Mwanamitindo ndiyo aipunguzie umaarufu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kuondoka hao uliyowataja:

je iliwachukua miaka mingapi madrid kurudi kwenye makali ya champions league? na la liga je? Je Ronaldo kaikuta madrid ikiwa katika hali gani hasa kwenye michuano ya kimataifa? (uefa champions league). je baada kuja Ronaldo real madrid, timu imepata mafanikio kiasi gani kulinganisha na misimu iliyopita kabla ya yeye kutua Real madrid Au mafanikio ya timu yalikuwa pale pale au yaliporomoka?
Je kabla ya Ronaldo kuja Real madrid, timu ilikuwa na washabiki wangapi? Na baada ya kuja Ronaldo je Mashabiki wa Real madrid waliongezeka, walipungua au walibakia wale wale tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…