Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Bora na mara Mia angezeeka kuliko kuuzwa ndo maana wanapata tabu Sana na mapato yanashuka kwa Kasi Kama water fall ok,ko be careful with your heartHuo ni upepo tu utapita hao mashabiki walitegemea huyo ronaldo acheze mpaka anamiaka 60?? Si walijua kuna mda atasepa tu iwe kwa kuuzwa au kuzeeka. Hao wamenuna tu kama watoto wa kike lakini soon mnuno utaisha watakumbuka kumbe they love footbal more than players...na watarudi tu....
Sent using Jamii Forums mobile app