Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
View attachment 336311
WAKATI Sports Club Villa ikibugia mabao 7-0 ugenini kwa FUS Rabat katika Kombe la Shirikisho, mabingwa wa klabu za Afrika TP Mazembe wamejikuta wakilala kwa mabao 2-0 mbele ya Wydad Casablanca ya Morocco.
TP Mazembe imepata kipigo hicho ikiwa haina mchezaji wake mahiri Mbwana Ally Samatta wa Tanzania ambaye anachezea klabu ya Racing Genk ya Ubelgiji, ambaye...
Kwa habari zaidi, soma hapa => Bila Samatta TP Mazembe yanyukwa ugenini 2-0 | Fikra Pevu
Kuna haja ya kuongeza uwezo wa washabiki wetu kabla ya kuinua kiwango chetu cha mpira.Kwahiyo untaka kutuambia angekuwepo huyo samatta wako mbere ya waidadi wangeshinda? Ebu acheni ushabiki vitumbua, mnakuwa ka vile hamrijui soka bwanaa
🙄Makubwaaa
Tanzania ikiwa na samata ilifungwa saba na Waarabu