Bila tawala za sasa za Saudi Arabia, Jordan, Egypt, UAE, Kuwait kuondolewa madarakani, Israel itaendelea kushikilia ardhi ya Palestina kwa muda mrefu

Hao wote uliowataja ni ndugu zetu katika imaan!! Unapata wapi ujasiri wa kuwafikiria vibaya kwa kuwahusisha na Mayahudi?
 
Hizo zote ni porojo zako na uanowategemea kwa tafsiri. Neno lipo veryclea kwenye Qur'an Al AaRabu.

Saudi sarabia tayari ni ya kwao, kwanini anatakiwa apigwe? Unalijuwa hilo?
Nimekuuliza maswali Faiza hujanijibu!! Maneno yangu pamoja na kuyaita "porojo" nimekupa reference wapi yanapopatikana!! Elimu sio jambo la kuoteshwa , lazima ukae na watu waliokutangulia kusoma wakusomeshe vile na wao walivyoseomeshwa na walimu wao waliosoma kabla yao.
Mimi nimekuonyesha tafsiri mbili za Quran na Moja ya kiingereza ambao neo
الأعراب wametafsiri ni MABEDUI.

Namuomba reference ni wapi ambapo neno الأعراب limetafsiriwa kuwa ni waarabu??!!
Pia umesema NENO Bedui limo kwenye Qur'an naomba uniambie ni sura gani na Aya ya ngapi?!

Pia kama kwenye Quran umekosea niambie ni kamusi gani ya kiarabu au ni Mwalimu wa madrassa gani aliyekusomesha kwamba
الأعراب maana yake ni waarabu??!!
Ukishindwa kujibu maswali haya tambua kuwa madai yako ya kusema kwamba
الإعراب ni waarabu ndiyo POROJO kwa sababu elimu hupatikana toka kwa waalimu na siyo kuleta madai na porojo za very clear!!
 
Mudi ni nabiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…