Bila Tsh. Milioni 4.5 haurekodi ngoma kwa Producer S2Kizzy a.k.a Zombie

Bila Tsh. Milioni 4.5 haurekodi ngoma kwa Producer S2Kizzy a.k.a Zombie

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan.

S2Kizzy ambaye ametayarisha ngoma nyingi zilizoshika namba 1 kwenye chart mbalimbali nchini amesema session moja studio na yeye itakuwa Tsh. Milioni 4.5.

S2Kizzy ameshafanya ngoma na Msanii Will.i.a.m wa kundi la Black Eyed Peas kutoka Marekani.
IMG_2196.jpg
 
Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan.

S2Kizzy ambaye ametayarisha ngoma nyingi zilizoshika namba 1 kwenye chart mbalimbali nchini amesema session moja studio na yeye itakuwa Tsh. Milioni 4.5.

S2Kizzy ameshafanya ngoma na Msanii Will.i.a.m wa kundi la Black Eyed Peas kutoka Marekani. View attachment 2564957
Hii ndio downfall yake.
Producer wengi bongo ukishatangaza bei ya session ni km unawafukuza wasanii.
Rejea Kwa Burn record, Switch rec, na Ile studio ya Navy kenzo wote Chali.

Unacharge 4.5m na promo unafanya anafanya producer au
Una add value Gani Kwa msanii anaekupa Hela hyo
Unampa uhakika Gani wa millage ya wimbo wake
Mfano kufanya recording Moja Kwa Scott Stoch ni hela nyingi sana lakini anakupa uhakika wa ngoma Yako kuwa Bora na hit km isipokuwa hit mpunga anakurudishia vp s2kz.

Ushauri wangu, s2kz dharau na drama umekuwa nazo nyingi tangu uanze kufanya kazi na Mondi
Kibongobongo ni km umeshajipata hv na makopo yenu.
Master J ni mpenda pesa lakini hakuwa kuweka hadharani kiwango Cha kulipa artist.
Usiende sna mbio ndefu
 
Hii ndio downfall yake.
Producer wengi bongo ukishatangaza bei ya session ni km unawafukuza wasanii.
Rejea Kwa Burn record, Switch rec, na Ile studio ya Navy kenzo wote Chali.

Unacharge 4.5m na promo unafanya anafanya producer au
Una add value Gani Kwa msanii anaekupa Hela hyo
Unampa uhakika Gani wa millage ya wimbo wake
Mfano kufanya recording Moja Kwa Scott Stoch ni hela nyingi sana lakini anakupa uhakika wa ngoma Yako kuwa Bora na hit km isipokuwa hit mpunga anakurudishia vp s2kz.

Ushauri wangu, s2kz dharau na drama umekuwa nazo nyingi tangu uanze kufanya kazi na Mondi
Kibongobongo ni km umeshajipata hv na makopo yenu.
Master J ni mpenda pesa lakini hakuwa kuweka hadharani kiwango Cha kulipa artist.
Usiende sna mbio ndefu
Na wasanii wa bongo ni watu wa kwenda upepo utashangaa sa hvwanaenda kwa mr lg amesahau kuwa hata t touch miaka 2 mfululizo alkua anatoa hits lkn sa hv kimya
 
Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan.

S2Kizzy ambaye ametayarisha ngoma nyingi zilizoshika namba 1 kwenye chart mbalimbali nchini amesema session moja studio na yeye itakuwa Tsh. Milioni 4.5.

S2Kizzy ameshafanya ngoma na Msanii Will.i.a.m wa kundi la Black Eyed Peas kutoka Marekani. View attachment 2564957
utafikir ana kitu kipya sasa🤣🤣🤣
 
Hii ndio downfall yake.
Producer wengi bongo ukishatangaza bei ya session ni km unawafukuza wasanii.
Rejea Kwa Burn record, Switch rec, na Ile studio ya Navy kenzo wote Chali.

Unacharge 4.5m na promo unafanya anafanya producer au
Una add value Gani Kwa msanii anaekupa Hela hyo
Unampa uhakika Gani wa millage ya wimbo wake
Mfano kufanya recording Moja Kwa Scott Stoch ni hela nyingi sana lakini anakupa uhakika wa ngoma Yako kuwa Bora na hit km isipokuwa hit mpunga anakurudishia vp s2kz.

Ushauri wangu, s2kz dharau na drama umekuwa nazo nyingi tangu uanze kufanya kazi na Mondi
Kibongobongo ni km umeshajipata hv na makopo yenu.
Master J ni mpenda pesa lakini hakuwa kuweka hadharani kiwango Cha kulipa artist.
Usiende sna mbio ndefu
Asante
 
Hii ndio downfall yake.
Producer wengi bongo ukishatangaza bei ya session ni km unawafukuza wasanii.
Rejea Kwa Burn record, Switch rec, na Ile studio ya Navy kenzo wote Chali.

Unacharge 4.5m na promo unafanya anafanya producer au
Una add value Gani Kwa msanii anaekupa Hela hyo
Unampa uhakika Gani wa millage ya wimbo wake
Mfano kufanya recording Moja Kwa Scott Stoch ni hela nyingi sana lakini anakupa uhakika wa ngoma Yako kuwa Bora na hit km isipokuwa hit mpunga anakurudishia vp s2kz.

Ushauri wangu, s2kz dharau na drama umekuwa nazo nyingi tangu uanze kufanya kazi na Mondi
Kibongobongo ni km umeshajipata hv na makopo yenu.
Master J ni mpenda pesa lakini hakuwa kuweka hadharani kiwango Cha kulipa artist.
Usiende sna mbio ndefu
Hakika.
 
Back
Top Bottom