Bila Tsh. Milioni 4.5 haurekodi ngoma kwa Producer S2Kizzy a.k.a Zombie

Bila Tsh. Milioni 4.5 haurekodi ngoma kwa Producer S2Kizzy a.k.a Zombie

Ushauri wangu, s2kz dharau na drama umekuwa nazo nyingi tangu uanze kufanya kazi na Mondi
Kibongobongo ni km umeshajipata hv na makopo yenu.
😂😂😁 ila watu humu wanajua kusagia kunguni aisee
 
Duuu kumbe alikuwa ana charge bie ndogo sana anawezaje kuishi maisha ya kisanii
 
Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan.

S2Kizzy ambaye ametayarisha ngoma nyingi zilizoshika namba 1 kwenye chart mbalimbali nchini amesema session moja studio na yeye itakuwa Tsh. Milioni 4.5.

S2Kizzy ameshafanya ngoma na Msanii Will.i.a.m wa kundi la Black Eyed Peas kutoka Marekani. View attachment 2564957
Nasemaje Asumoney Beat Kidogo Pesa Mingi.
 
Kwanza hagongi beat kali kumshinda Franken na Duke

Hata kumfikia Owe bado

Wakina Uno wanakunyongea beat nzito unaweza kudhani kama ndio proffesional yao kumbe ni rappers tu
Si kweli, nimesikiliza album latest ya UNO, beat ni za ovyo, plus production mbovu. Watunge mashairi, wawape wataalamu kazi za production.

Ukisikiliza old school, toka kwa Master Jay, Majani, Bon luv, na wengine beat zilikuwa kali pamoja na sound engineering kuliko sasa hivi.
 
Si kweli, nimesikiliza album latest ya UNO, beat ni za ovyo, plus production mbovu. Watunge mashairi, wawape wataalamu kazi za production.

Ukisikiliza old school, toka kwa Master Jay, Majani, Bon luv, na wengine beat zilikuwa kali pamoja na sound engineering kuliko sasa hivi.
Beat gani ambayo Uno kaigonga afu ikawa mbovu?
 
Na wasanii wa bongo ni watu wa kwenda upepo utashangaa sa hvwanaenda kwa mr lg amesahau kuwa hata t touch miaka 2 mfululizo alkua anatoa hits lkn sa hv kimya
Yah wasanii wabongo huwa kweli wanaenda na upepo. Nimekumbuka kipindi cha touch kila ngoma ilikuwa ni touch kila ngoma.
Ila na s2kissy kakaa kinoma
 
Si kweli, nimesikiliza album latest ya UNO, beat ni za ovyo, plus production mbovu. Watunge mashairi, wawape wataalamu kazi za production.

Ukisikiliza old school, toka kwa Master Jay, Majani, Bon luv, na wengine beat zilikuwa kali pamoja na sound engineering kuliko sasa hivi.
Umesema kweli production mbovu sana hata mimi nakuunga mkono.
 
Ni vyema kuijua thamani yako. Inawezekana amefanya hivyo Kwa sbu ya kuwafanyia kazi wanaojinasib kwamba Muzik umewatoa. Ila Kwa Ambao Bado wanatafuta Tundu la kutokea itawaumiza. Kama kweli ni mbov wa mixing ameji overate( amejikuta).
 
Back
Top Bottom