Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Duh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😁 ila watu humu wanajua kusagia kunguni aiseeUshauri wangu, s2kz dharau na drama umekuwa nazo nyingi tangu uanze kufanya kazi na Mondi
Kibongobongo ni km umeshajipata hv na makopo yenu.
Nasemaje Asumoney Beat Kidogo Pesa Mingi.Mtayarishaji wa muziki namba 1 kwa sasa Nchini Tanzania, S2Kizzy ametangaza kupandisha bei ya kurecord wimbo mmoja kwake ambapo bei hiyo itaanza kutumika baada ya mfungo wa Ramadhan.
S2Kizzy ambaye ametayarisha ngoma nyingi zilizoshika namba 1 kwenye chart mbalimbali nchini amesema session moja studio na yeye itakuwa Tsh. Milioni 4.5.
S2Kizzy ameshafanya ngoma na Msanii Will.i.a.m wa kundi la Black Eyed Peas kutoka Marekani. View attachment 2564957
Si kweli, nimesikiliza album latest ya UNO, beat ni za ovyo, plus production mbovu. Watunge mashairi, wawape wataalamu kazi za production.Kwanza hagongi beat kali kumshinda Franken na Duke
Hata kumfikia Owe bado
Wakina Uno wanakunyongea beat nzito unaweza kudhani kama ndio proffesional yao kumbe ni rappers tu
Beat gani ambayo Uno kaigonga afu ikawa mbovu?Si kweli, nimesikiliza album latest ya UNO, beat ni za ovyo, plus production mbovu. Watunge mashairi, wawape wataalamu kazi za production.
Ukisikiliza old school, toka kwa Master Jay, Majani, Bon luv, na wengine beat zilikuwa kali pamoja na sound engineering kuliko sasa hivi.
Yah wasanii wabongo huwa kweli wanaenda na upepo. Nimekumbuka kipindi cha touch kila ngoma ilikuwa ni touch kila ngoma.Na wasanii wa bongo ni watu wa kwenda upepo utashangaa sa hvwanaenda kwa mr lg amesahau kuwa hata t touch miaka 2 mfululizo alkua anatoa hits lkn sa hv kimya
Umesema kweli production mbovu sana hata mimi nakuunga mkono.Si kweli, nimesikiliza album latest ya UNO, beat ni za ovyo, plus production mbovu. Watunge mashairi, wawape wataalamu kazi za production.
Ukisikiliza old school, toka kwa Master Jay, Majani, Bon luv, na wengine beat zilikuwa kali pamoja na sound engineering kuliko sasa hivi.
Zote na sound engineering mbovu, wanauza bidhaa mbovu sokoni.Beat gani ambayo Uno kaigonga afu ikawa mbovu?
Zote zipi?Zote na sound engineering mbovu, wanauza bidhaa mbovu sokoni.
Hata wao pia bure Huwa wanatoa, ila haki ya miliki inabaki Kwa producerNi haki yake
Bongo bado tuna safari ndefu,nilisomaga kitabu Kimoja alichoandika 50 cent ndo nikajua mziki marekani una pesa yani producer kulipwa 50m kwa ngoma ni kawaida sana
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Huyu Ammywave nae ni shida nyingine mjini, jamaa ana kazi nzuri ila sijui kwanini amepoa sana.Alitengeneza Ammywave kutoka Switch Records
Mika Mwamba alikuwa fundi sana, lile goma la TAMALA halichoshi mpaka leo.Hao ni beat maker, hata kupiga vyombo vya muziki sidhani kama wanajua hao maprodyuza walikua akina henriko, mika mwamba, bizman na kadhalika,
Swali zuriNitongoze sio kali?
sio kaliNitongoze sio kali?
Ni KALI kwako na kwa wengine ila sio kwangu..Nitongoze sio kali?
Haya