Katiba bora ni ile inayotoa fursa sawa kwa vyama vya siasa na raia wake kwa ujumla na yenye kumuwajibisha kila anayeikiuka.
Hapa nchini kuna vuguvugu la kutaka kuandikwa kwa katiba mpya. Lakini katiba itakayoandikwa kwa mazingira na mwenendo tulionao sasa itakuwa siyo bora.
Itakuwa siyo bora kwa sababu hakuna mashinikizo kutoka ndani ya dhamira za viongozi na jamii kwa ujumla ya kutunga katiba bora.
Nijuavyo mm umma ukiamka toka usingizini, ukaanza kudai haki za kikatiba mpk kupelekea mapinduzi kama yale ya Sri Lanka, ama machafuko ya kuchapana kama yale ya Kenya, hapo ndipo katiba bora itaandikwa.
Kitakachofanyika sasa itakuwa ni kuandika katiba ambayo kwa vyovyote vile itakifanya chama tawala kiendelee kuneemeka kwa mamlaka ya kidola. Siyo rahisi kuruhusu Neema hii iondolewe na katiba mpya.
Hapa nchini kuna vuguvugu la kutaka kuandikwa kwa katiba mpya. Lakini katiba itakayoandikwa kwa mazingira na mwenendo tulionao sasa itakuwa siyo bora.
Itakuwa siyo bora kwa sababu hakuna mashinikizo kutoka ndani ya dhamira za viongozi na jamii kwa ujumla ya kutunga katiba bora.
Nijuavyo mm umma ukiamka toka usingizini, ukaanza kudai haki za kikatiba mpk kupelekea mapinduzi kama yale ya Sri Lanka, ama machafuko ya kuchapana kama yale ya Kenya, hapo ndipo katiba bora itaandikwa.
Kitakachofanyika sasa itakuwa ni kuandika katiba ambayo kwa vyovyote vile itakifanya chama tawala kiendelee kuneemeka kwa mamlaka ya kidola. Siyo rahisi kuruhusu Neema hii iondolewe na katiba mpya.