Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Haya kakojoe ukalaleLile basi la Simba Lilipokuwa likirudi nyuma kwa kasi lilikuwa llinapunguza idadi ya magoli. Jana mnyama angetotolesha vitoto kumi
Simba kapakatwaHaya kakojoe ukalale
Wewe umekazwa na wachawiSimba kapakatwa
Sichi mbuziMcha Mbuzi unazijua kumi weye ?
Wakapigwa 3 KinyumenyumeKwahiyo walienda kwa mwarabu kinyume nyume?
Kua nao makini maana wanapenda maswala ya kinyume nyumeWakapigwa 3 Kinyumenyume
Ndio urithi pekee aliotuachia Nyerere. Taifa la kichawi. Taifa linalotumia mabilioni kukimbiza mwenge. Taifa linaloamini mwenge unaweza kuleta amani, mwenge unaweza kuleta tumainiTanzania ni ya washirikina na wachawi ooh Lord
Very sadTanzania ni ya washirikina na wachawi ooh Lord
Timu ya KinyumenyumeKua nao makini maana wanapenda maswala ya kinyume nyume
Mi najiuliza timu imejaa wazee wote wale ( onyango,Boko,nyoni,mkude,saidoo, Mzamiru) wakakosa busara wakaamua wamwendee mwarabu kinyume nyume kweli😂😂Timu ya Kinyumenyume
Wale wazee ni wazee wa KinyumenyumeMi najiuliza timu imejaa wazee wote wale ( onyango,Boko,nyoni,mkude,saidoo, Mzamiru) wakakosa busara wakaamua wamwendee mwarabu kinyume nyume kweli😂😂