Bila uchawi wa kurudisha basi reverse, Simba ingefungwa O-1O

Bila uchawi wa kurudisha basi reverse, Simba ingefungwa O-1O

Lile basi la Simba Lilipokuwa likirudi nyuma kwa kasi lilikuwa llinapunguza idadi ya magoli. Jana mnyama angetotolesha vitoto kumi
View attachment 2522706
Kwenye hizi mechi za Simba na Yanga nimejifunza mengi sana. Hizi mechi ndiyo picha halisi ya watu tunavyoishi. Nimegundua watu hatupendani 100%. Watu tunaombeana mabaya.
Nimejifunza mipango yangu au mambo nayotaka kufanya inakuwa siri yangu. Hata mke wangu siwezi kumwambia.
 
Kwenye hizi mechi za Simba na Yanga nimejifunza mengi sana. Hizi mechi ndiyo picha halisi ya watu tunavyoishi. Nimegundua watu hatupendani 100%. Watu tunaombeana mabaya.
Nimejifunza mipango yangu au mambo nayotaka kufanya inakuwa siri yangu. Hata mke wangu siwezi kumwambia.
Jifunze kunyamaza, ukishindwa mwombe Mungu akufundishe
 
Naomba kuuliza maana hii mada ya basi naona mitandaoni.

Hapo na hakika ni slipway road masaki. Je ni vibaya kwa chombo cha usafiri “basi la simba” kurudi njia kupitia gear ya reverse? Maana chombo cha moto kimetengenezwa kwenda mbele na kurudi nyuma
 
Lile basi la Simba Lilipokuwa likirudi nyuma kwa kasi lilikuwa llinapunguza idadi ya magoli. Jana mnyama angetotolesha vitoto kumi
View attachment 2522706
FDDFBC60-3949-4998-96A4-E89E687C1269.jpeg
 
Unampelekea mwarabu matako !anaachaje?lazima akupumulie
Mpira wetu Tanzania hauwezi kuendelea kwasababu uchawi ni mwingi sana.
Fitina mpaka kwenye ligi za nje, ingikuwa mechi za NBC ni sawa.
Mashabiki wa Simba au Yanga wapo radhi wafanye lolote kwenye mechi za nje timu mojawapo ishindwe.
Hapo hapo mnataka kombe la shirikisho au klabu bingwa lije Tanzania.
 
Mpira wetu Tanzania hauwezi kuendelea kwasababu uchawi ni mwingi sana.
Fitina mpaka kwenye ligi za nje, ingikuwa mechi za NBC ni sawa.
Mashabiki wa Simba au Yanga wapo radhi wafanye lolote kwenye mechi za nje timu mojawapo ishindwe.
Hapo hapo mnataka kombe la shirikisho au klabu bingwa lije Tanzania.
Mfano jana mashabiki wa Yanga walifanya kitu gani kilichosababisha Simba afungwe?
 
Mwamedi anajitoa akili.
NAOMBA KOCHA ASILAUMIWE KWA LOLOTE. QUALITY NDIO IMEAMUA MCHEZO.

UNALETA AKINA MANZOKI KWENYE KAMPENI..
UNAPOTEZA
Dilunga, miquesson, Lwanga, Mugalu, Wawa, Kagere Unaleta.

Banda.
Sawadogo.
Ottara.
Kanute.
Okra.

HAWA NI MIZIGO.
UONGOZI WA SIMBA JITAFAKARINI
 
Back
Top Bottom