Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Israhell iliunwa mwaka 1948 acha kudanganya watu
 
We kumbe naongea na kilaza. Nil

Kumbe naongea na kilaza nilifikir naongea na mtu mwenye hoja kumbe wale wale.
Kilaza ni mtu anaeamini mambo bila fact. Hivyo wewe ndio mwenye sifa hiyo ya kilaza kwa sababu kila unaloongea umeshindwa kuliwekea fact. Yani kwa vile wewe unafanywa kilaza na wafia dini wenzako basi ndo unafikiri kila mtu atakuwa hivyo hivyo kama wewe. Dunia ya sasa watu wenye akili zetu hatuaminishwi mambo kupitia story za vitabu, weka fact ya kuonesha kuwa wapalestina walikataa kuundwa mataifa mawili ili tubalance ukweli uko wapi.

Hapa ni lazima ujue kuwa unaongea na mtu anaetambua kile anachouliza na anachoandika, so ukitaka kuandika yale unayoyajua wewe uje na fact, sio porojo za vijiwe vya kahawa, hapa humpati mtu.
Hapo ndo ujinga wa waafrika unaposimamia. Mtu anamuona Nyerere na wengine wa aina hiyo wanaweza kukosea. Lakini wazungu na waarab walioleta biblia na misahafu ambayo iliandikwa wewe ukiwa haupo unawaamini. Huu ni ukilaza uliopitiliza.
btw acha tu niishie hapa, maana napoteza muda wangu kujadiliana na mtu ambae hajui anachojadili. Hii ni sawa na kupoteza muda wangu bure.
 
Ngoja na mm niandike kabiblia kangu nijipe umiliki wa Americant

Biblia ni kitabu cha uongo kilicho tungwa na wapigaji fulani fulani
 
Kijana anatumia kuda mwingi kuwafuatilia kina mwijaku. Haya mambo tunayojadili hapa, yapo mbali na uwezo wake wa kufikiri. Ndomaana kakurupuka tu kama kuku aliekatwa kichwa.
Wanakurupuka sanaaaaaaaa
 
Kwahiyo miaka yote wao ni watu wa kusaidiwa tu?? Sasa huo U-genius wao unawasaidia nini?
 
Acha ujinga wewe miaka 3000 unaijua wewe? Na Tanzania miaka 3000 iliyopita lilikua eneo la nani?
 
Tena ni ujinga uliopitiliza mtu anakwambia eti walikaa hapa miaka 3000 iliyopita .[emoji1787]
 
Kwani wewe unaposema waafrika unamaanisha nini? Maana mpaka sasa misri ni nchi ya Afrika sasa sijakuelewa.
 
Kabisaaa
Na wanaujua ukweli ulo uandika ila kuukiri wanashindwa
Na sababu kubwa wamejawa na ujinga na udini
Kama jamaa mmoja hapo juu yeye kila kitu anaingiza dini. Sijui nani kamloga huyu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…