Bila Waajemi kuingilia kati, leo hii Syria, Lebanon, Palestina yote na sehemu kubwa ya Misri zingekuwa zimechukuliwa kwa nguvu na Israel

Wajaluo wa Musoma ambao kiasili ni watu wa Sudani,wanaweza kuondoka hapa tz wakaenda kudai viwanja vya babu zao sudani ati kwakuwa imeandikwa mahala fulani?


Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Israel
Ethiopian women in Israel β€˜given contraceptive without consent’

Israel's health ministry is investigating claims that Ethiopian immigrants have unwittingly had Depo-Provera jabs for years


years old

Israel's health ministry is investigating claims that Ethiopian women are being injected with a controversial contraceptive without their knowledge or consent.

Thousands of Ethiopian women are said to be receiving shots of Depo-Provera every three months in Israeli clinics. The contraceptive stops menstruation and has been linked to fertility problems and osteoporosis.

Yaakov Litzman, Israel's deputy minister of health, who has previously denied the practice, will lead the inquiry, a spokesperson announced on Wednesday.

The phenomenon was uncovered when social workers noticed the birth rate among Ethiopian immigrants halving in a decade. An Israeli documentary investigating the scandal was aired in December and prompted a popular outcry.

It revealed that women were started on a course of contraceptive jabs while still in transit camps in Ethiopia, some without being told they were being given birth control and many having no idea of the side-effects. When they eventually arrived in Israel, doctors continued the treatment unquestioningly. But the critical question remains unanswered as to who instigated the policy, with neither Israel nor Ethiopia willing to claim responsibility.

Sava Reuben, an Ethiopian who has lived in Israel since 1984, interviewed more than 35 women from her community for the film and found that 25 were still receiving contraceptive shots from healthcare providers.

Reuben spoke to one woman who believed she had been given a flu vaccination and had no idea she had been injected with Depo-Provera.

Another was pregnant with her fifth child when she arrived in the transit camp, where she would live for seven years. The woman in her thirties told Reuben that officials had gathered together all the new mothers in the camp and told them they would be given Depo-Provera as it would be too difficult for them to give birth Israel.

"No, we didn't want to take it, we refused. We said we didn't want it," the unnamed woman recalls in the film. She agreed to the injections only because she was told her immigration to Israel would be blocked and she would receive no further healthcare in the camps if she refused.

"This happened to many, many other women," Reuben said.

More than 50,000 Ethiopian Jews have immigrated to Israel in the past decade. The fast-growing community has struggled against bias. In 1996, thousands rioted when it was discovered that the Israeli health ministry had destroyed all stocks of blood donated by Ethiopians on the grounds that it might be contaminated with HIV.

Israel's health ministry has strongly denied allegations that the injections are part of a policy to control the growth of the Ethiopian community.

"The Israel ministry of health neither advises nor encourages the use of Depo-Provera injections and if they are being administered this is in despite of our view," a spokesperson said.

And yet Reuben claims to have discovered a letter from the health ministry to a clinic in Ethiopia in 2000 thanking doctors there for the large numbers of women they had treated with Depo-Provera.

"Why are only Ethiopian women being given Depo-Provera in Israel? It's supposed to be a last-resort contraceptive. Israeli health authorities claim the injections are a cultural preference but in our culture, to have lots of children is to be rich," Reuben said.

"It is my opinion that this is a deliberate policy on the part of Israel. They are taking advantage of women who are weak because they are new to the country, do not understand the language and who traditionally respect authority. It makes me more than angry."

Dr Mushira Aboodia, a gynaecologist working at Jerusalem's Hadassah medical centre, said the majority of Ethiopian women she had met received Depo-Provera injections.

"This is a policy that no one will admit. No one in Israel will take responsibility for the treatment in the camps but someone must have instigated it and it would not be in Ethiopia's interests to treat women preparing to leave the country," Aboodia said.

"Something is definitely wrong here. I'm very glad the ministry of health will be investigating the issue. They will need to do a thorough job."

To[emoji2398] 2024 Guardian Newspaper

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Wajaluo wa Musoma ambao kiasili ni watu wa Sudani,wanaweza kuondoka hapa tz wakaenda kudai viwanja vya babu zao sudani ati kwakuwa imeandikwa mahala fulani?


Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
Hawezi kukujibu. Yani hao jamaa kila mtu anawashangaa. Bado wana akili na mawazo yale yale waliofundishwa kipindi cha kikoloni. Hawajui kwamba zama zinanadilika na mambo pia yanabadilika πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Myahudi wa kipogoro huyo haelewi chochote kilichoandikwa, lakini pia hata angeelewa bado angeshindwa kuja kujibu hoja πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ndio nimeamka sorry kwa kuchelewa kukujibu. Iko hiv for reasons kuna vitu vinafanyika kwasababu maalumu kwenye nchi au maeneo tofauti. Nitakupa mfano. Kule kwetu Kilimanjaro kwa mfano miaka ya nyuma ya Nyerere watoto walikuwa hawafaulu mitihan ila walikuwa wanachaguliwa. Yaan mnakuta mmefaulu 30 wanachaguliwa hapo 2 tu. Hiyo nafasi nyingine anapewa watoto mikoa mingine kwa maelezo tuliyopewa na wazee so wazee wengi walikuwa wananunua majina ya watu hasa mikoa mingine ili tu kuwasidia watoto wao kusoma. So serikali ya TZ imefanya huo mchezo live miaka kipind hicho kwa kigezo kwamba hawa wameshasoma wengine nao wasome. Ni kama Mh. magufuli alivyosema wachagga hatupeliki kitu subiri na wenzenu wapate. Na wala hakuna anaelaumu unajua kwasababu gani. Watu washajua ishu hapa ni kujitafuta ukiwa na hela ndio nguvu yako. Ukienda hapo kenya mjaluo ni ndoto kupewa nchi na Nigeria kwa mfano ni ndoto waigbo kupewa nchi. Fuatilia kwanini hajawah kutokea mkuu wa jeshi mchagga au mchagga akitaka urais propaganda zinakuwa nyingi. Serikali inakuwa na sababu zao. Na hizo Mambo zipo dunia nzima Obama mpaka anakuwa rais haikuwa simpo. Ukienda Israel kwenyewe kuna raia waarabu wapalestina. Na kwa utaratibu kila raia wa Israel anatakiwa aingie jeshin na ukishakuwa mjeshi unatakiwa kumiliki silaha. Lakin hawa jamaa wakipewa silaha wote kiusalama pia ni shida pia so wanapewa wachache wengi wanabaniwa. . So kuna kaugumu kwao kupewa silaha pia. So mi sishangai hawa Jews falasha kupunguzwa uzazi labda ongezeko lao kwa mwaka na ardhi ya nchi ni ndogo nk huwez kujua. Ni kama mchina alivyozuia watu wa mjin kuwa na watoto wengi akaruhusu wa kijijin kuwa na wawili by then. Ni sababu za kiusalama zaid sometimes. Shida yetu ni kukariri kosa analofanya mzungu akifanya mwafrica haliwi kosa ni kawaida. Tumekuwa na hofu ya kizungu sana badala ya kujijengea mfumo wa kushindana ulimwengun tumebaki watu wa kuonyesha madhaifu kwa kulalamika tu. Cku zote ukiona mtu hasa mwanaume analalamika jua ni mdhaifu sana. Hii ni dunia ya ushindan nenda front kama unataka kujulikana na kusikika
Kukaa na kuongea au kuchati hakujawah kuleta mabadiliko popote Mzee. Mbona watu wa far east hakuna mwenye muda wa kujadili huu ujinga tumebaki Sisi black kujichelewesha kuongelea ya watu wakat muda hakuna tuna matatizo mengi kuliko huu upuuz unaoendelea hapo middle east. Tumesahau kuwa hapo watu wanapigania ardhi na hiongezeki wenzetu kwasasa hasa wachina wanapenyeza raia wao Africa nzima sasa hiv Mungu akitujalia miaka 40 ijayo wanatutawala tena kutokea ndani. Na hii ni kwasababu hatujui tunataka nini tunafikir kuna watu mahali wanatuonea huruma au wanatupenda ur wrong guys. Mi nafikir ni muda wa kutafakar kwanini Africa tunadharauliwa. Ni kwasababu hatujitafuti tunajishughukisha na ya watu. Niko muda mji mmoja china unaitwa fujiang. Huku ni viwanda tupu. Na wanachotafuta ni soko tu basi. Sasa badala ya watu kutoka kwenda kujitafuta maana Mungu katujalia nchi yetu ipo kwenye engo nzur kibiashara uje ukae na mchina uwe hata agent wa chupi Bongo we ni Iran cjui anapamban upuuz mtupu. Kiufupi hatuna muda wa kupoteza wala huna wa kumlaumu zaid yako. Mwarabu au mzungu akipata we kwake ni choo nothing to them. Ukiona vita popote ni fursa kwa wengine sio ushabiki wa kindez. Mi miaka ya 2012 nimeuza mahind kishenz hapo Juba wakat wanatandikana. mzee nachowaomba pambanen achaneni na biashara za kufuatilia washindan wanaopamban namna ya kuicontrol Dunia. Sisi wala hawatujui. Nimeuza mpunga sana Bujumbura. Na fursa zipo nyingi sana jaman huhitaj kujua kwanini jamii nyingine zinatudharau hii dunia ni kama tuko mbuga za Wanyama. simba ili aishi ni lazima swala wawepo so jitahd ujitafute uwe angalau Chui na wewe uzao wako upate wa kumla aache kulalamika kama wewe.
 
Kwani wewe unaposema waafrika unamaanisha nini? Maana mpaka sasa misri ni nchi ya Afrika sasa sijakuelewa.
Hao waarabu wote wavamiz hizo nchi kihistoria zilikuwa ni black pure. Hata farao alikuwa black.
 
Kwahiyo miaka yote wao ni watu wa kusaidiwa tu?? Sasa huo U-genius wao unawasaidia nini?
Mzee hii dunia watu Wana namna nyingi ya kuishi. Kwa mfano Israel inawachukua majasusi vijana kuanzia miaka 15 wanakaa na wewe mpaka miaka 23 unawaachia ile akili cream ya kwanza baada ya hapo unatafutiwa kazi huko makampuni ya kiume huko dunian so unakuta unailisha nchi kutoka nje. Hawa jamaa wana uraia wa nchi zaid ya mbili ndio maana wameweza kupachika watu wao kila mahali so hiyo ni akili unatumia nguvu ndogo kupata msaada inapohtajika kutoka nje. Siwasifu mi nachojaribu kusema Africa ni watu ambao hatutaki kuukubali ukweli na kujifunza. Far east wamefanikiwa. Wachina au Japan walipogundua wazungu mfumo wao una Mazur yake na mabaya yake walikaa chini wakiwa na mfumo wao wakatuma majasusi kusoma huko na wakarud na Mazur na wamepata mabadiliko. Sis Nyerere aaliwatuma kwenda kusoma wakarud walevi na wavaa suti wakawa maboss matokeo ni kuwalaumu wazungu tu.
 
Nani kakudamganya Wayahudi hawaamini biblia!? Wayahudi hawaamini agano jipya (Injili ya Yesu Kristo) na si biblia nzima, jifunze kabla ya kuandika.
 
Kama Quran au?
 
Kwamba Quran inayotambua uwepo wa Yesu nayo ilibuniwa!?
 
Ngoja na mm niandike kabiblia kangu nijipe umiliki wa Americant

Biblia ni kitabu cha uongo kilicho tungwa na wapigaji fulani fulani
Ila chakushangaza Quran yako tukufu ikakitambua hicho kitabu cha wahuni!!! Bilashaka na hiyo quran ni walewale tu!
 
Kumbe Al Qaeda ni Kundi la Mmarekani? I never knew this forsure. Osama bin Laden alipandikizwa na Marekani???
Kama wewe ni mzaliwa wa miaka ya 70s au 80s, na ni mfuatiliaji wa siasa za dunia bila shaka unakumbuka Mmarekani alipoingia Iraq.

Kwanza alidai anakwenda Iraq kuangamiza silaha za maangamizi zilizopo kule Iraq, hivyo akaomba kibali cha UN ili akaivamie nchi hiyo na kuangamiza silaha. UN ya kipindi kile chini ya hayati Kofi Anan wakamkatalia kumruhusu aingie Iraq mpaka kwanza wakaangalie kama kweli hizo silaha zipo au porojo.

Baada ya UN kuchunguza wakakuta Sadam nchi yake imejichokea haina hata ndege ya jeshi, hivyo hawakutoa kibali cha Marekani kwenda Iraq. Mmarekani sababu ya pesa, power na uwezo wa kuamua lolote akapeleka jeshi lake kwanguvu akishirikiana na Waingereza wakavamia Iraq wakauwa maelfu ya watu, wakamkamata Sadam ambae walidai ni mtu hatari kwa usalama wa dunia nk.

Wakati Sadam anakamatwa kila mtu duniani alimuona kupitia vyombo vya habari mbali mbali na mpaka leo kuna picha za wanajeshi wa Marekani walizopiga nae wakati wakimkamata. Sadam aliendelea kuoneshwa kuanzia alipokamatwa, alipokuwa na kesi na mpaka aliponyongwa. Hadi mazishi yake pia yalioneshwa. Mpaka leo hakuna silaha hata moja ya maangamizi iliyokamatwa, na mission yao ya kwenda kuikalia Iraq ili watimize ule mpango wa kuziteka hizo nchi zenye utajiri wa mafuta ikawa imefanikiwa kwa kiasi fulani. Sadam alinyongwa, alizikwa na kaburi lake linajulikana liko wapi.

Tukija kwa Ghadafi pia nafikiri ulikuwepo, pia alivamiwa kwa sababu zisizokuwa na msingi aliuwawa, vyombo vya habari vikaonesha maiti yake, mazishi yake na mpaka kaburi lake linajulikana lilipo. Kina Oliega wote walioisumbua Marekani kwa madawa ya kulevya mauaji na kesi mbali mbali alipokamatwa alioneshwa, na mpaka kufariki na kuzikwa anajulikana alipozikwa.

Sasa iweje Osama yeye asionekane maiti yake, mazishi yake na pia kaburi lake. Kwanini azikwe katika maji na kaburi lake lisionekane?

Tafakari...
 
Usalama wako ndiyo inahalalisha kuchukua eneo la mtu?
 
Asipokuelewa kwa ufafanuzi huu hataelewa tena.
 
Pale Israel wale ni mapandikizi ya wazungu kutoka Ulaya wakiwemo Waingereza. Wamarekani, Wajerumani nakadhalika.

Ndiyo maana unaona Israel anapopigana na kikundi chochote utawaona Wamarekani na wazungu wengine mbio mbio kumsaidia Israel kumbe wanawasaidia wazungu wenzao waliowapandikiza.
 
Hiyo biblia ni kitabu cha wazungu kwa malengo ya kukutawala mbumbumbu kama wewe.

Wakati wewe unapigania dini za mchongo za wazungu wenzako wazungu wanaendelea kutafuta innovation mpya kwasababu wamekupumbaza na dini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…