zanzibakwetu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2014
- 618
- 377
Naomba ulete takwimu za wachambuzi wote unaowaamini kuthibitisha ulichokisema.Ukweli ni kwamba Yanga kamburuza Simba kwenye takwimu za mechi ya leo.Kilichokuhokoa leo ni kupaki basi vinginevyo ungehaibika tusubiri mechi nyingine wakati huo Yanga atakuwa mwenyeji wako.Utopolo nadhani mnaujua ukweli, mmemaliza dakika 90 kwa kujiburuza, moto ulikuwa sebuleni![emoji881][emoji881]
Misimu minne?Lete takwimu za mechi ya Leo.Bahati yako umepaki basi ila mechi ya pili kipigo kitakupata tu kama ilivyo kwenye misimu minne iliyopita mechi za kwanza huwa unatoa sare kwenye ligi ila za marudiano unakula kichapo
Toa hilo dole mkunduni hukoWakuu leo kwa mpira ulivyochezwa kiukweli bila onyango na inonga leo simba alikuwa analala mapema sana naweza kusema hawa ndio man of the match wa leo wameupiga mwingi mwisho wa wote ongereni simba kwa kutoa draw na timu kubwa ya yanga mpeni pongezi yule fisi wenu alieingia uwanjani[emoji1][emoji1]View attachment 2040843View attachment 2040851
Simba kupaki basi kwa Yanga huo utakuwa mpira wa redioni, sema fanya hivi siku nyingine nenda uwanjani cheki futbol wewe haya mambo ya kupata matokeo kwa jirani madhara yake ndio kama hiviBahati yenu si mlipaki basi.Tafuta takwimu za mechi ya leo kutoka kwa wachambuzi wote unaowaamini uangalie hali ya leo ilikuwaje kwa Simba.
Mpwa, naona ww ulitizama mechi kupitia TV ya aborder . Maana hoja yako itakufikisha mbinguni ukiwa umechoka sanaWakuu leo kwa mpira ulivyochezwa kiukweli bila onyango na inonga leo simba alikuwa analala mapema sana naweza kusema hawa ndio man of the match wa leo wameupiga mwingi mwisho wa wote ongereni simba kwa kutoa draw na timu kubwa ya yanga mpeni pongezi yule fisi wenu alieingia uwanjani[emoji1][emoji1]View attachment 2040843View attachment 2040851
Sijui ana aina gn ya TVWewe ni Utopolo kuanzia juu mpaka chini
Mtoa Uzi sijui ana aina van ya tv . Hoja yake , [emoji706][emoji706]Sijui ana aina gn ya TV
Ukweli wa mambo ni kwamba Onyango na Varane wametimiza majukumu yao kama walinzi,shida ilikua kwa wakina Mayele kupigwa pini na hao walinzi mpaka Mayele kutolewa alikua anazurula tu uwanjani.
Inonga anatumia sana akili mpaka anakera.
Onyango ni mzito sana wa mwili ila anaweredi mkubwa wa kucheza mipira ya uvunguni pia anatumia vema thinking capacity ya kusoma vema move za washambuliaji.
Jamani haijawa ugomvi. Tuseme tu kwamba timu zote zilicheza vizurHoja dhaifu sana. Kwani si wachezaji wa Simba?Ulitaka acheze nani. Eti bila wachezaji hawa, ulitaka miti ndio icheze?
Hata mimi naamini kama UTOPWENGA wasingelimpanga kipa walikuwa wanaoga za kutosha.Wakuu leo kwa mpira ulivyochezwa kiukweli bila onyango na inonga leo simba alikuwa analala mapema sana naweza kusema hawa ndio man of the match wa leo wameupiga mwingi mwisho wa wote ongereni simba kwa kutoa draw na timu kubwa ya yanga mpeni pongezi yule fisi wenu alieingia uwanjani[emoji1][emoji1]View attachment 2040843View attachment 2040851
Wakuu leo kwa mpira ulivyochezwa kiukweli bila onyango na inonga leo simba alikuwa analala mapema sana naweza kusema hawa ndio man of the match wa leo wameupiga mwingi mwisho wa wote ongereni simba kwa kutoa draw na timu kubwa ya yanga mpeni pongezi yule fisi wenu alieingia uwanjani[emoji1][emoji1]View attachment 2040851
Hamkumuona kijana mohamed hussein akimzuia yule kijana anayejiita yesu moloko kijana aliyechukua nafac ya kisindaWakuu leo kwa mpira ulivyochezwa kiukweli bila onyango na inonga leo simba alikuwa analala mapema sana naweza kusema hawa ndio man of the match wa leo wameupiga mwingi mwisho wa wote ongereni simba kwa kutoa draw na timu kubwa ya yanga mpeni pongezi yule fisi wenu alieingia uwanjani[emoji1][emoji1]View attachment 2040843View attachment 2040851
Kweli Simba walipaki basi walikuwa wanataka wapate walau point moja ndo maana wamepiga SHOTI 1 ON TARGET na MASHUTI 2 OFF TARGET, wana bahati sana basi lao lilipaki vzr.Naomba ulete takwimu za wachambuzi wote unaowaamini kuthibitisha ulichokisema.Ukweli ni kwamba Yanga kamburuza Simba kwenye takwimu za mechi ya leo.Kilichokuhokoa leo ni kupaki basi vinginevyo ungehaibika tusubiri mechi nyingine wakati huo Yanga atakuwa mwenyeji wako.