- Thread starter
- #21
Mkuu hata sura ya yule mmasai haijapata umajimaji wa bil.7 bhanaa. Angelikuwa na bil.7 angepata baby face ghafla. Yule ana ung'avu wa maziwa ya ng',ombe tu.Mkuu banaa kwa Chumviii,ati mmasai havai lubega akiwa bilionea !!!
Utakuja kuwasimanga wakina Mohamed Bin Salman kuwa Ni matrilionea wa Aina gani kutwa kuvaa Kanzu,majoho na heggal,mkuu Sexless bnaaaa looooh