Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Well...Mcheki Mo.... Mo na mmasai kiumri wako sawa. Lkn Mo anaonekana kama mtoto wa mmasai. Madam Rita (japo hana bilioni) anaonekana kama mdogo wake Shilole. Fedha mkuu acha tu.
Mo ni mhindi...hapigwi na jua,anafanya Sana mazoezi na mkazi wa jijini....
Madame Ritha Ni chotara,mla Bata mjini,Laizer kutwa anakaa juani Tena umasaini....mkuu wangu bnaaa