Mkuu hata sura ya yule mmasai haijapata umajimaji wa bil.7 bhanaa. Angelikuwa na bil.7 angepata baby face ghafla. Yule ana ung'avu wa maziwa ya ng',ombe tu.Mkuu banaa kwa Chumviii,ati mmasai havai lubega akiwa bilionea !!!
Utakuja kuwasimanga wakina Mohamed Bin Salman kuwa Ni matrilionea wa Aina gani kutwa kuvaa Kanzu,majoho na heggal,mkuu Sexless bnaaaa looooh
Tumia ubongo wako vizuri!Kuna viongozi wana mvuto wa asilia kwa watu (charismatic leaders). Hawa viongozi wana sifa zifuatazo:-
Characteristics of Charismatic Leader
1. Confident.. Charismatic leaders ooze confidence; there is no doubt about that. .
2. Compassionate.. Compassion is a characteristic that embodies all leadership styles but can be strongly found within a charismatic leadership style. ...
3. Communicative.. ...
4. Emotive.. ...
5. Determined.. ...
6. Visionary..
Kwa sifa tajwa hapo juu ni dhahiri kwamba rais Magufuli hana sifa zote kasoro namba 5 tu nayo kwa mbaaali Sana.
Sasa kwa kuzingatia vigezo hivyo mwananchi atavutiwa na nn aende kwenye mikutano ya Magufuli?
Hana sifa zote hapo ndiyo maana bila wasanii hata watu 100 hapati. Wafuate nn?
Angalia hofu kubwa iliyompata baada ya Lisu: the Orator and charismatic leader kurejea! Watu wanajipeleka bila kuitwa, bila shaka mlishuhudia siku anawasili uwanja wa ndege.
Polisi walipiga mkwara lkn jiji likatetemeka. Huyu ndiye charismatic leader.
Hata akiwa anaongea khs mambo ya Covid lazima Sgr,Stigler's ichomekwe humo kwny mazungumzo kwa namna yoyote ile.Ye mwenyewe msanii tosha akianza na sgr,vituo vya afya,dreamliner na elimu bure tatizo watu washauchoka huo wimbo maana anauimba kila leo sio Makanisani,Misikitini,kwenye uzinduzi,utumbuaji,uapishaji ni huo.Bora tubebe wasanii wakafanye shoo na wananchi wasipojaa mafuso yapo yakuwabeba wajaze uwanja
Hapo ndiyo mwisho wangu atii.Tumia ubongo wako vizuri!
Mmmh, haya bhana.Hapo ndiyo mwisho wangu atii.
Jamaa yuko poor Sana katika kutoa hotuba. Haangalii mahali, hadhira na malengo ya hotuba. Misibani stiglers, harusini stiglers, uzinduzi wa tawi la benk stiglers, mama yake mgonjwa stiglers. Anachoshaaaaa.Hata akiwa anaongea khs mambo ya Covid lazima Sgr,Stigler's ichomekwe humo kwny mazungumzo kwa namna yoyote ile.
Ooooooh! Hoja mfuuuuu. Pole ewe msukuma mwenzie uliyekuja mjini toka Kolomije kwa Lori la ng'ombe.Una taka Magufuli akuletee chakula nyumbani kwako ? ?
Hawa watu wanokwenda kwenye mikutano ya Lissu ni wahuju uchumi na wapiga diliKuna viongozi wana mvuto wa asilia kwa watu (charismatic leaders). Hawa viongozi wana sifa zifuatazo:-
Characteristics of Charismatic Leader
1. Confident
Wanaokwenda kwa Magufuli ni wasiojulikana.Hawa watu wanokwenda kwenye mikutano ya Lissu ni wahuju uchumi
Ooooooh! Hoja mfuuuuu. Pole ewe msukuma mwenzie uliyekuja mjini toka Kolomije kwa Lori la ng'ombe.
Wanaokwenda kwa Magufuli ni wasiojulikana.
๐๐๐Kwani mkuu wangu unawafahamu mabilionea wangapi waliopata baby face ghafla iwe bongo ama UGHAIBUNI?!!!Mkuu hata sura ya yule mmasai haijapata umajimaji wa bil.7 bhanaa. Angelikuwa na bil.7 angepata baby face ghafla. Yule ana ung'avu wa maziwa ya ng',ombe tu.
Nani yule anaye yaonesha mawe ya Kagame anajifanya yake? Nani asiyejua kwamba Kagame ndiyo amekabidhiwa Mererani? Kwahiyo yale mawe siyo ya yule mmasai.
Hvi unazijua bil.7 wewe? Uzipate bil.7 uendelee kuvaa lubega? Achana kabisa na tabia ya pesa.
Mcheki Mo.... Mo na mmasai kiumri wako sawa. Lkn Mo anaonekana kama mtoto wa mmasai. Madam Rita (japo hana bilioni) anaonekana kama mdogo wake Shilole. Fedha mkuu acha tu.๐๐๐Kwani mkuu wangu unawafahamu mabilionea wangapi waliopata baby face ghafla iwe bongo ama UGHAIBUNI?!!!
Just thinking. Last time nilimsikia akidai hospital, vituo vya afya ndiyo vitakavyompa ushindi.Not to that extent ๐
Litakuwa apige hata msawaki basiLubega ni kama nguo nyingine tu tunazovaa sisi. Au ulitaka Mzee Laizer avae bulletproof vest?