Uchaguzi 2020 Bila wasanii Magufuli hapati hata watu 100. Wafuate nini?

Mkuu banaa kwa Chumviii,ati mmasai havai lubega akiwa bilionea !!!

Utakuja kuwasimanga wakina Mohamed Bin Salman kuwa Ni matrilionea wa Aina gani kutwa kuvaa Kanzu,majoho na heggal,mkuu Sexless bnaaaa looooh
Mkuu hata sura ya yule mmasai haijapata umajimaji wa bil.7 bhanaa. Angelikuwa na bil.7 angepata baby face ghafla. Yule ana ung'avu wa maziwa ya ng',ombe tu.
 
Tumia ubongo wako vizuri!
 
Hata akiwa anaongea khs mambo ya Covid lazima Sgr,Stigler's ichomekwe humo kwny mazungumzo kwa namna yoyote ile.
 
Hata akiwa anaongea khs mambo ya Covid lazima Sgr,Stigler's ichomekwe humo kwny mazungumzo kwa namna yoyote ile.
Jamaa yuko poor Sana katika kutoa hotuba. Haangalii mahali, hadhira na malengo ya hotuba. Misibani stiglers, harusini stiglers, uzinduzi wa tawi la benk stiglers, mama yake mgonjwa stiglers. Anachoshaaaaa.
 
Kuna viongozi wana mvuto wa asilia kwa watu (charismatic leaders). Hawa viongozi wana sifa zifuatazo:-
Characteristics of Charismatic Leader
1. Confident
Hawa watu wanokwenda kwenye mikutano ya Lissu ni wahuju uchumi na wapiga dili
 
Ooooooh! Hoja mfuuuuu. Pole ewe msukuma mwenzie uliyekuja mjini toka Kolomije kwa Lori la ng'ombe.

Msukuma ???
Broo sio kila anayemkubali Magufuli basi ni Msukuma.. Mwamba anafanya mambo yalivyotakiwa wale..

Acha niwe na hoja mfuu
 
Mkuu hata sura ya yule mmasai haijapata umajimaji wa bil.7 bhanaa. Angelikuwa na bil.7 angepata baby face ghafla. Yule ana ung'avu wa maziwa ya ng',ombe tu.
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Kwani mkuu wangu unawafahamu mabilionea wangapi waliopata baby face ghafla iwe bongo ama UGHAIBUNI?!!!
 
Nani yule anaye yaonesha mawe ya Kagame anajifanya yake? Nani asiyejua kwamba Kagame ndiyo amekabidhiwa Mererani? Kwahiyo yale mawe siyo ya yule mmasai.

Hvi unazijua bil.7 wewe? Uzipate bil.7 uendelee kuvaa lubega? Achana kabisa na tabia ya pesa.

Lubega ni kama nguo nyingine tu tunazovaa sisi. Au ulitaka Mzee Laizer avae bulletproof vest?
 
๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜Kwani mkuu wangu unawafahamu mabilionea wangapi waliopata baby face ghafla iwe bongo ama UGHAIBUNI?!!!
Mcheki Mo.... Mo na mmasai kiumri wako sawa. Lkn Mo anaonekana kama mtoto wa mmasai. Madam Rita (japo hana bilioni) anaonekana kama mdogo wake Shilole. Fedha mkuu acha tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ