Bila ya unafiki wala chuki nasema Aslay sasa hivi kijana huyu anakukimbiza

Bila ya unafiki wala chuki nasema Aslay sasa hivi kijana huyu anakukimbiza

Uwo wimbo ni wa kawaida sana alafu sikiliza beat vizuri mwanzoni ni copy and paste ya show me
 
Uwo wimbo ni wa kawaida sana alafu sikiliza beat vizuri mwanzoni ni copy and paste ya show me
beat haina tofauti kabisa mkuu ni show me kila kila kitu lizer amegoma kubadilika
 
aslay sijui anakwama wapi siku hizi.. mbosso moto umewaka kweli kweli siku si nyingi atakuwa moja ya tegemeo wcb akiendelea na kasi hii
 
Sitarajii makubwa kutoka kwa Mbosso, ataishia ligi hii hii ya nyumbani!
 
Nilikuwa namkubali sana Maromboso kuliko Mbosso.
Beka flavour hana promo tu na Aslay anajua sana ila angejitahidi akabadilika na kuchanganya aina ya muziki anaofanya.
Mbosso bado sijamuelewa mpaka leo.
 
Nilikuwa namkubali sana Maromboso kuliko Mbosso.
Beka flavour hana promo tu na Aslay anajua sana ila angejitahidi akabadilika na kuchanganya aina ya muziki anaofanya.
Mbosso bado sijamuelewa mpaka leo.
Kushindwa kubadilika huko ndo kufeli Sasa ,ko mpaka now aslay atunae Tena kwenye game maybe beka flavour,but nayeye anavyoimba Kama chereani ya sabufa atuna Budi kusema MBOSSO ndo mtemi wao from now
 
Back
Top Bottom