Elections 2015 Bilionea Ali Mafuruki, Atoa ya moyoni

Elections 2015 Bilionea Ali Mafuruki, Atoa ya moyoni

baro

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,129
Reaction score
4,028
Bilionea wa Tanzania, ndugu Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli

1443343196513.jpg


Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
 
Huyu ni.mmoja wa mafisadi wanaokidhamini chama ili waendelee kupewa misamaha ya kodi
 
Huyu ni.mmoja wa mafisadi wanaokidhamini chama ili waendelee kupewa misamaha ya kodi

Ni muendelezo wa kutaka kulinda mfumo ulio mtajirisha.

Wote wenye manufaa na mfumo, lazima watatetea kulinda mfumo, tunaelewa na hatuwalaumu, sisi tutavunja mfumo.
 
Ni muendelezo wa kutaka kulinda mfumo ulio mtajirisha.

Wote wenye manufaa na mfumo, lazima watatetea kulinda mfumo, tunaelewa na hatuwalaumu, sisi tutavunja mfumo.

2005 wakati wa campaign JK akiwa Mwanza aliahidi kutengeneza mabilionea watano kwa juhudi zake yy kabla ya kuondoka madarakani, mmoja wa hao mabilionea ni huyu Ali mafuruki wa Simba Net, na mwanae Ridhiwan Kikwete! Namna gsni hawa wamekuwa bilioneas ni siri yao na JK
 
baro huyu ajanunuliwa isipokua yeye kainunua ccm

Halafu ni billionea Wa arusha au kigoma?
 
Last edited by a moderator:
2005 wakati wa campaign JK akiwa Mwanza aliahidi kutengeneza mabilionea watano kwa juhudi zake yy kabla ya kuondoka madarakani, mmoja wa hao mabilionea ni huyu Ali mafuruki wa Simba Net, na mwanae Ridhiwan Kikwete! Namna gsni hawa wamekuwa bilioneas ni siri yao na JK

Wewe vipi?

Unafikiri Lowassa atakuja kukupa ubilionea?

Unaonesha wewe Krismasi ya 10 hujaenda kwenu.
 
hii sio habare mpya... jamaa alikua anaonekana tangu zamani ni mlengo gani
 
Hivi kwanini wanatumia Slogan za Lowasa?
 
Anajaribu kuweka mazingira ya kulinda maslahi yake na ya kampuni yake tu hana lolote huyo!
 
Heri yake yeye...kuliko mengi mwenye kadi ya ccm...mchana yupo kwa magufuli...tatzo usiku!!!
 
Wanakosea kuiba na kugeza kila kitu toka kwa Lowassa. Sasa tangu lini ccm ikawa na mabadiliko? Mabadiliko ni sera ya Lowassa. Ccm ni ile ile basi. Mfuruki kakulia katika mfumo huohuo so hakuna cha kushangaaa hapo, kila mmoja ana haki ya kushabikia chama chake na yeye katumia haki yake kikatiba. Ushawishi wake ni kwa matajiri wenzie ambao moja kwa moja wanaisupport ccm. Pale ceo round table kuna mtu anayeipinga Ccm? Jibu ni hapana so huo ni mlolongo ule ule. Mwanakijiji wa matombo anaijua lini ceo round table au anamjua vipi mfuruki?

Mwambieni mzee aimarishe biashara zake tuu na ana haki yake kikatiba kuishabikia ccm hakuna cha ajabu hapo.
 
Ni muendelezo wa kutaka kulinda mfumo ulio mtajirisha.

Wote wenye manufaa na mfumo, lazima watatetea kulinda mfumo, tunaelewa na hatuwalaumu, sisi tutavunja mfumo.
Vp kina rostam na mengi..hata lowasa ni bilionea...tena wenyew wana kadi za ccm kabisa.
 
Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli

Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!


Mtu yoyote anayefaidika na utawala dhalimu wa ccm ni lazima atetea maslai yake. Inawezekana hata kodi halipi inavyotakikana. Akifuatiliwa kiundani ni lazima utakuta kodi halipi kisheria
 
Back
Top Bottom