MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,552
- 24,166
Hakuna jipya hapo, mufuruki siku zote yupo ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Wewe vipi?
Unafikiri Lowassa atakuja kukupa ubilionea?
Unaonesha wewe Krismasi ya 10 hujaenda kwenu.
Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Katumia haki yake ya kikatibaBilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Mkuu sikutegemea tofauti na hilo kutoka kwakeBilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Mafuruk mnafik sana!
ni bilionea?
Tuna mabilionea wawili tuu tz.. Rostam & Mohamed Dewdji.
Mafuruki ni nan hasa katika nchi hii
Mkuu unajiabisha unawajua Forbes?Tuna mabilionea wawili tuu tz.. Rostam & Mohamed Dewdji.
Kamanda wewe na habari za Ukawa tu daah!!.Mafuruki ni nan hasa katika nchi hii
Anatokea mkoa gani ? Utajiri wake umeegemea kwenye biashara gani?