Elections 2015 Bilionea Ali Mafuruki, Atoa ya moyoni

Elections 2015 Bilionea Ali Mafuruki, Atoa ya moyoni

Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli

Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!

Mabadiliko= Lowasaaa= Mabadiliko = Lowasaaa . Tumia hata maneno haya." ACHA BLABLA CHAPA KAZI,,"
 
Anategemea ulaji kutoka CCM hawa ndio matajir wanaokwepa......aah TCRA wamenizuia
 
Wewe vipi?

Unafikiri Lowassa atakuja kukupa ubilionea?

Unaonesha wewe Krismasi ya 10 hujaenda kwenu.

Wewe magufuli ndio atakupa, huyo mafuriko sijui anataka mabadiliko yapi:what: ccm hata umchague nani uzi ni uleule na ndio maana huyo bilionea wenu anawaunga mkono ccm, nimshauri tu, kama kweli anataka mabadiliko aiunge mkono ukawa tuweze kuing'oa ccm inayokandamiza wakulima, waalimu, wafugaji, machinga, na wafanyakazi, mabadilikooooooooo...!!
 
Mbona huyo nae mwana maslahi.Tunataka CCM iondoke ili watu kama hao wasiwe na nafasi kwenye siasa za Tanzania kabisa.Hao ndio walioiharibu CCM.Yeyote anayeiunga mkono CCM kwa sasa ni adui wa wananchi wa Tanzania,hatufai.Nasema hivii,Mafuruki hutufai,wewe inaiunga mkono CCM kwa ajili ya maslahi yako mapana.
Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli

Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
 
Halafu ni muandaaji wa mdahalo pia kwenye NGO yake ya CEOroundtable. Analinda maslahi yake sio kuwa kweli anaipenda ccm
 
Kama haram anayomiliki Lowassa na rafiki zake!
Ujinga huo wa mtu mmoja umewapata Ukawa!
Niliongea hivyo makusudi ili ni kukamate na ungekuwa mwanajeshi ungekuwa umekufa zamani sana kwasababu watu wa ccm mnajipelepeka tu na
Ccm mnatabia mbaya sana akitokea mtu mzuri na mwenye nia njema kwenu tayari kwenu anakua ni adui ila maadui kwenu ndio watu muhimu kwenu kuliko wananchi mwaka huu hiyo imekula kwenu.
 
Cheh utawala wa ccm haumdai kodi ndo maana anautaka anaogopa lowassa atamdai kodi
 
Huyu Mr. Mufuruki ni Mhaya ni mtu mpambanaji sana amefanya kazi kampuni ya Benz mara baada ya kumaliza masomo yake huko Germany na amekuwa among of successful activist in Africa, hard working person, kabla huja comment chochote ingia Google kwanza au u tube utaelewa ni nani!!
 
Kwani Lowasa sio fisadi? Jana nilimsikia akitaja neno rushwa huku akitetema

Yawezekana Lowasa akawa fisadi lakini tujiulize iweje watu wote wenye utajiri wa mashaka lazima wawe na connection na ccm na kwa taarifa hakuna tajiri yoyote hapa Tz ataiponda ccm
 
kwa kw tapeli la kisiasa eti alitaka kuendesha mdahalo wakati ni kada kindaki ndaki aweke mahesabu yake sawa tuu
 
Ni muendelezo wa kutaka kulinda mfumo ulio mtajirisha.

Wote wenye manufaa na mfumo, lazima watatetea kulinda mfumo, tunaelewa na hatuwalaumu, sisi tutavunja mfumo.

Kama mfumo umemtajirisha, wewe umepungukiwa nini usitajirike? Kama kuna wenye manufaa na mfumo, wewe umepungukiwa nini usinufaike?

Ukishavunja mfumo utaongezekewa nini kitakachokufanya unufaike?
 
Huyu Mufuruki alianzisha kitu kinaitwa Africa Leadership Initiative (ALI) ambayo matunda ya huyo taasisi ni vijana wanaofanya vizuri katika taasisi mbalimbali Kama Mchechu wa NHC na wengineo wengi. Huyu ni mmoja kati ya Watanzania wenye maono makubwa na mzalendo.
 
fanya kazi kwa bidii nawe utakua bilionea,usidhani kila mwenye mafanikio hapa nchini ni mwizi,huyu mafuruki ni mpambanaji na kaupata huo ubilionea kwa jasho lake.
wacha kushinda humu jf muda wote,wekeza muda wako kwenye kufanya kazi kwa bidii uone nawe kama hutafanikiwa vinginevyo utabaki kuwasengenya watu tu humu jf kwa kutumia hiyo ID yako fake.

Mkuu umenigusa sana na jawabu mujarabu na sahihi kwa kizazi hiki. Mabadiliko yaanzie katika fikra zako mwenyewe binafsi kwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa ufanikiwe. Hakuna kiongozi ambae ataingia madarakani akutajirishe pasina wewe mwenyewe binafsi kujituma katika kazi. Kushinda katika social media hakusaidii kukubadilisha maisha yako zaidi ya ufukara tu na kuishia kusengenya wenye mafanikio. Tchaoooo😐😐😑
 
Anamtangaza Makufuri au yeye mwenyewe?. .ya mwaka huuu ni makubwa. Kwa taarifa yenu ukawa tuko imara! Haijalishi mabilionea wangapi wanajionesha kumuunga mkono Magufuri...ukawa ni nguvu ya umma....ktk uchovu na umasikini iliosababishwa na ccm....
 
Ali amepigasanahela za masharika akiwa best wa ben.mkapa..amejaribisana kuua atcl na.kilichomtoa huko ni bodi aliyokuwa kushiriki kutakakutwngeneza.mkataba feki wa ndege...anajua vyema sio mtumzuri kwa taifa hili ndio.mmiliki wa infotech building kawe na majengombali mbali..kumwona anatengeneza hadi mabango n kunakitu anatengeneza atarajie kutoka lwa magufuli akichaguliwa hana jipya...nakwambia hawa ndio washiriki walioua makampun hata jk akawaogopa..so anatarajia akidema atapewa shirika loh
 
Back
Top Bottom