Bilionea wa Tanzania , ndg Ali Mafuruki atoa ya Moyoni kuhusu uchaguzi mkuu Tanzania kwa kuamua kumuunga Mkono Dr Magufuli
Kudos Mafuruki
Sijui na wewe watasema umenunuliwa!
Mabadiliko= Lowasaaa= Mabadiliko = Lowasaaa . Tumia hata maneno haya." ACHA BLABLA CHAPA KAZI,,"