Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #81
I mean no malice to nobody
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nili kumiss Sana🤗🤗, halafu Hilo kopa UTA fanya nisi lale😃Niko poa kipenzi wa mimi❤️
Huu uzi wa majonzi hebu nipigie 😁Nili kumiss Sana🤗🤗, halafu Hilo kopa UTA fanya nisi lale😃
Shida hupokei bhana😃Huu uzi wa majonzi hebu nipigie 😁
Duh bug dudes wa generation hiyo, Wana ishia aise🤒Waliokufa leo ni pamoja na Henry Kissinger - Former US Secretary of State, Alistair Darling former chancellor(waziri wa fedha) UK na Shane McGowan mwanamuziki mashuhuri. generation yao naona wanaishia.
Mzee Ume Anza kamba zako za kiwaki🤣😂😂Nimfahamu kiasi, pamoja na kusoma naye darasa moja ila mwenzangu alitusua maisha
Hahahaha........kuweni na imani na Wazee 🤪Mzee Ume Anza kamba zako za kiwaki🤣😂😂
AmenApumzike kwa Amani.
🙄Apumzike kwa Amani.
Warren kasha sema soon anasepaUrafiki wa namna hii soon..Mara nyingi mwezi huwa hauishi anamfata mwenzake
Mzee Mengi alikua mzungu kasoro ngoziWenzetu wana succession plan ya kueleweka na Nchi zilizoendelea huziangalia kwa ukaribu kampuni ambazo zina impact kubwa kwenye nchi yao.
Kwa Tanzania mzee Mengi alijitahidi