MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Umeme umewashinda ila bado mnahangaika na ChademaππππUkipita Chadema lazima uwe Bilionea , Hiki chama huwa kinaongeza uwezo wa kufikiri .
Ameijenga sana Chadema Uingereza, mpaka alipoacha kutoa posho ndio Chadema wakamtosaUkipita Chadema lazima uwe Bilionea , Hiki chama huwa kinaongeza uwezo wa kufikiri .
Ukipita Chadema lazima uwe Bilionea , Hiki chama huwa kinaongeza uwezo wa kufikiri .
Bilionea gan yule mgoni dalali?Ukipita Chadema lazima uwe Bilionea , Hiki chama huwa kinaongeza uwezo wa kufikiri .
Mzee lakin kwa levo yake kajitahid japo ana mbwembweBilionea gan yule mgoni dalali?
Wa kawaida sana mkuu sio milionea hataMzee lakin kwa levo yake kajitahid japo ana mbwembwe
kusema rahisi kuliko kutendaBaada ya Serikali ya Tanzania kushindwa kuibadilisha nchi yetu kwa zaidi ya miaka 60 hatimaye zee la Madungu Chros Lukosi ameamua kulichukua suala hilo mikoni mwake na kuifanya Tanzania kuwa kama China, mabonanza yatakuwa yanatengenezwa Tabata, charger na earphone Kigoma, spea arusha, Simu Iringa nk nk.
View attachment 2800309
Aloo wahehe na ulanzi ni damdam.
Kuna yule msanii mnyalu nae alitakua na ndoto za kugeme ulanzi kirpofesheno, huyu nae anataka atoe fungu kwa ajili ya ulanzi.
Bongo zozo nae aliishi iringa akaukubali ulanzi full kuusifia.
Ulanzi wa hawa wa kujinyonga una nini aisee.?