kama sikosei ni Flavio Briatore, Boss wa kampuni ya magari ya Renault, anatokea Torino Mkoa wanakotengeneza Fiat, Eveco, Alfa Romeo na ndege za kivita, alikuwa Boy friend wa Naomi Campbell.
atakuwa heavy, huyu jamaa ni serious kama ni yeye na alitangaza muda mrefu kidogo kuhusu project hiyo.
Club kama hizi wala usione wivu kama hutaruhusiwa, wanaletwa ma prince kwa private jets na bilioneas na luxury boats, kesha kila mmoja ataacha japo 5,000,000 dollars kati ya matumizi na kamari ndani ya casino, kwa hiyo hapo tujali maslahi ya nchi tu, kwa hilo mombasa itafanana na Las Vegas, Monte Carlo, Macau, Hong Kong na sehemu zingine nyeti za Dunia, huu mradi uliletwa ZNZ ukakataliwa eti casino ya kamari marfuku kwa Uislamu poleni.
kama sikosei ni Flavio Briatore, Boss wa kampuni ya magari ya Renault, anatokea Torino Mkoa wanakotengeneza Fiat, Eveco, Alfa Romeo na ndege za kivita, alikuwa Boy friend wa Naomi Campbell.
atakuwa heavy, huyu jamaa ni serious kama ni yeye na alitangaza muda mrefu kidogo kuhusu project hiyo.
Club kama hizi wala usione wivu kama hutaruhusiwa, wanaletwa ma prince kwa private jets na bilioneas na luxury boats, kesha kila mmoja ataacha japo 5,000,000 dollars kati ya matumizi na kamari ndani ya casino, kwa hiyo hapo tujali maslahi ya nchi tu, kwa hilo mombasa itafanana na Las Vegas, Monte Carlo, Macau, Hong Kong na sehemu zingine nyeti za Dunia, huu mradi uliletwa ZNZ ukakataliwa eti casino ya kamari marfuku kwa Uislamu poleni.