Bilionea club in Malindi Kenya

Bilionea club in Malindi Kenya

Gudasta

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2011
Posts
501
Reaction score
788
Wana jf Natumai wote ni wazima, Kuna taarifa kuwa kuna bilionea mmoja wa itali amepanga kujenga Bilionea club malindi Kenya. Ujenzi huo utagharimu U$D 700,000,000 na ujenzi wa club hiyo utachukua miaka miwili, Hivi sasa warembo kumi na nne wamepelekwa Itali kusomea jinsi ya kutoa service kwa wateja wa club hiyo, ambapo ni lazima uwe bilionea kuweza kuingia hapo.
 
$700m kwa Club si kweli hiyo ni pesa za Casino za Las Vegas
 
kama sikosei ni Flavio Briatore, Boss wa kampuni ya magari ya Renault, anatokea Torino Mkoa wanakotengeneza Fiat, Eveco, Alfa Romeo na ndege za kivita, alikuwa Boy friend wa Naomi Campbell.
atakuwa heavy, huyu jamaa ni serious kama ni yeye na alitangaza muda mrefu kidogo kuhusu project hiyo.
Club kama hizi wala usione wivu kama hutaruhusiwa, wanaletwa ma prince kwa private jets na bilioneas na luxury boats, kesha kila mmoja ataacha japo 5,000,000 dollars kati ya matumizi na kamari ndani ya casino, kwa hiyo hapo tujali maslahi ya nchi tu, kwa hilo mombasa itafanana na Las Vegas, Monte Carlo, Macau, Hong Kong na sehemu zingine nyeti za Dunia, huu mradi uliletwa ZNZ ukakataliwa eti casino ya kamari marfuku kwa Uislamu poleni.
 
kama sikosei ni Flavio Briatore, Boss wa kampuni ya magari ya Renault, anatokea Torino Mkoa wanakotengeneza Fiat, Eveco, Alfa Romeo na ndege za kivita, alikuwa Boy friend wa Naomi Campbell.
atakuwa heavy, huyu jamaa ni serious kama ni yeye na alitangaza muda mrefu kidogo kuhusu project hiyo.
Club kama hizi wala usione wivu kama hutaruhusiwa, wanaletwa ma prince kwa private jets na bilioneas na luxury boats, kesha kila mmoja ataacha japo 5,000,000 dollars kati ya matumizi na kamari ndani ya casino, kwa hiyo hapo tujali maslahi ya nchi tu, kwa hilo mombasa itafanana na Las Vegas, Monte Carlo, Macau, Hong Kong na sehemu zingine nyeti za Dunia, huu mradi uliletwa ZNZ ukakataliwa eti casino ya kamari marfuku kwa Uislamu poleni.

Dah jamani si zingesaidia hata kupata japo pato la hhuko visiwani kusaidia kununua ARV za wale Mashoga wanaongoza kwa Ngoma huko, au wanajisahalisha kuwa huko mashoga ndo wanaongoza kwa kuwa na ngoma, Fikra nyingine bana yaani wameona kucheza kamari ndo dhambi?, wanaudhi sana!!!
 
Ni ya jamaa bwenyenye mmoja anahusika na uendeshaji magari ya mashindano ya langa langa. Ni lizungu limeamua kuwekeza, huu mradi uliwahi kupendekezwa kwa mamwinyi wakaukataa, alitaka kuwekeza kama si Pemba itakuwa ni unguja jamaa wakamjia juu na mambo yao ya sheria sijui za kadhi au nini sijui! kenyans are more visionary than ourselves.
 
kama sikosei ni Flavio Briatore, Boss wa kampuni ya magari ya Renault, anatokea Torino Mkoa wanakotengeneza Fiat, Eveco, Alfa Romeo na ndege za kivita, alikuwa Boy friend wa Naomi Campbell.
atakuwa heavy, huyu jamaa ni serious kama ni yeye na alitangaza muda mrefu kidogo kuhusu project hiyo.
Club kama hizi wala usione wivu kama hutaruhusiwa, wanaletwa ma prince kwa private jets na bilioneas na luxury boats, kesha kila mmoja ataacha japo 5,000,000 dollars kati ya matumizi na kamari ndani ya casino, kwa hiyo hapo tujali maslahi ya nchi tu, kwa hilo mombasa itafanana na Las Vegas, Monte Carlo, Macau, Hong Kong na sehemu zingine nyeti za Dunia, huu mradi uliletwa ZNZ ukakataliwa eti casino ya kamari marfuku kwa Uislamu poleni.

Kwani Mombasa ya mapagani?
 
Back
Top Bottom