TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

Ginimbi ana mke anayeitwa Zodwa Mkandila ambaye wana watoto wawili,Mkewe pia ni mfanyabiashara mkubwa sana nchini zimbabwe ni CEO wa Traverze Travel ambayo alianzisha mwaka 2003 baada ya kuacha kazi ya receptionist.
Hana mtoto bwana. Huyo Zondwa alikuwa sugarmamy wake. Zondwa ndo ana watoto wakubwa mpaka wajukuu.
 
 
Watu wanajua mpaka sugamamy wake ni nani, mkewe ni nani, wanae ni akina nani, wanae wa kufikia ni akina nani, n.k.

Si ajabu wanajua hata saizi ya viatu alivyokuwa anavaa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…