Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anaestahili mkuuKuna watu hawastahili kufa kabisa..
R.i.p G
Wewe na mimiNani anaestahili mkuu
https://jamii.app/JFUserGuide you.Kuna watu hawastahili kufa kabisa..
R.i.p G
Aliungua duuh[emoji26]Jana tu usiku naangalia picha yake alizopost amekaa sehemu inaonekana kama jikoni. Nikajisemea tu kweli watu wana hela.. jiko lipo namna hii??
Leo mtu hayupo. Apumzike kwa amani. Kafa kwa mateso sana.
Halafu mauti yamemkuta wakati anarudi siyo anaenda Binamu.
Aligongana na gari?Birthday girl huyo wa katikati nae kafariki kwenye ajali hio. Wameungua vibayaView attachment 1622199
Aligongana na gari?
Kafara kama loteeFLAMBOYANT businessman and socialite, Genius ‘Ginimbi’ Kadungure, Tuesday lost his mother.
Ginimbi’s mother, Juliana was admitted at a clinic in Harare.
According to sources, she lost a battle with cancer.
The socialite confirmed news of his mother’s death in a post on his Twitter page.
“Today it’s one of my darkest days in my life, but who am I to question God. I did all things that money can buy, but this thing called Life it is only God that gives it. My mother, my world is now in heaven. RIP,” he wrote.
Around this same time last year, he buried his younger brother, Andrew whom he sent off in a top notch funeral attended by high profile figures.
**Jamaa alitoa mpaka wakaisha
Mmh[emoji15]Lakin hiyo gari ina matundu ya risasi
Weee usinambie[emoji848]Gari imepigwa risasi kwenye tanki la mafuta
Watu wabaya asee[emoji848][emoji848]Kuna watu hawana huruma Binamu.. Nasikia marehemu kasachiwa kila mahali.. Wahuni walitaka kuondoka hadi na Boksa yake.. Viatu wamepita navyo.
Inasemekana hiyo ajali eti imetengenezwa aliwekewa bomu.[emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Why flames was so high? It's a bomb?Rumor has it they were shot before the accident
Huo moto umetoka wapi sasaWalikua wote ndani ya gari moja
koh koh koh good morningHe sold his soul to the devil in exchange of money and power
Hapo ndio shida huwa tunapenda kushabikia ila huwa hatujuwi chacho cha utajiri wote huu, sio dhambi kuwa tajiri ila unapokuwa tajiri katika umri mdogo lazima kutakuwa na red flag unafanya nini je kazi zako ni halali au chanzo nini kama wale vijana matajiri wa nje utasikia ndio muanzilishi wa Facebook au Yahoo muhimu wanajulikana lakini huku kwetu hasa Africa hatuhoji. anyway RIP.Ila jamaa alikula good time. Lakini hakuwahi kuelezea kuhusu kazi yake unaona mapichapicha tu ya good time
Huo moto umetoka wapi sasa