TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

TANZIA Bilionea Ginimbi wa Zimbabwe afariki Dunia

Walikuwa mtu nne ndani ya hilo gari. Yeye na rafiki yake Mmalawi wakiwa na mademu baada ya kukesha wakinywa pombe. Alikuwa akiendesha kwa kasi. R.I.P
 
Jana tu usiku naangalia picha yake alizopost amekaa sehemu inaonekana kama jikoni. Nikajisemea tu kweli watu wana hela.. jiko lipo namna hii??
Leo mtu hayupo. Apumzike kwa amani. Kafa kwa mateso sana.
Halafu mauti yamemkuta wakati anarudi siyo anaenda Binamu.
Aliungua duuh[emoji26]
 
FLAMBOYANT businessman and socialite, Genius ‘Ginimbi’ Kadungure, Tuesday lost his mother.

Ginimbi’s mother, Juliana was admitted at a clinic in Harare.

According to sources, she lost a battle with cancer.

The socialite confirmed news of his mother’s death in a post on his Twitter page.

“Today it’s one of my darkest days in my life, but who am I to question God. I did all things that money can buy, but this thing called Life it is only God that gives it. My mother, my world is now in heaven. RIP,” he wrote.

Around this same time last year, he buried his younger brother, Andrew whom he sent off in a top notch funeral attended by high profile figures.
**Jamaa alitoa mpaka wakaisha
Kafara kama lotee
 
Ila jamaa alikula good time. Lakini hakuwahi kuelezea kuhusu kazi yake unaona mapichapicha tu ya good time
Hapo ndio shida huwa tunapenda kushabikia ila huwa hatujuwi chacho cha utajiri wote huu, sio dhambi kuwa tajiri ila unapokuwa tajiri katika umri mdogo lazima kutakuwa na red flag unafanya nini je kazi zako ni halali au chanzo nini kama wale vijana matajiri wa nje utasikia ndio muanzilishi wa Facebook au Yahoo muhimu wanajulikana lakini huku kwetu hasa Africa hatuhoji. anyway RIP.
 
Back
Top Bottom