Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe acha kuleta ufala. Kila kitu unaingiza siasa uchwara!!Bila Rais Magufuli kupiga ukuta asingekuwa bilionea
mwishowe utasema bila huyo jamaa watanzania hawataweza kupata pumzi!.Bila Rais Magufuli kupiga ukuta asingekuwa bilionea
Unaongea na simu ?Kwa hiyo
Kadugu yule wa Bugarama ,Nshamba ,Muleba ,Kagera? Alikuwa na tipper linabeba abiria kwenda Mubunda a mjajaro[emoji23][emoji23]Leo watu wamesahau vipaza sauti
mwisho wa siku sitoshangaa ukisema bila jiwe mamako asingeshika uja.uzito wakoBila Rais Magufuli kupiga ukuta asingekuwa bilionea
Shangaa sasa...🙄🙄🙄... njaa kali awamu hii.[emoji28][emoji28]hao waandishi ni makanjanja sana,wanasahau vipi vitendea kazi.
Uko sahihi, hilo ni tambiko la kimila.Msiwe mnawazulia watu kiti tofauti na nia zao,siyo sherehe ya kuaga umasikini isipokua atakua akifanya kafara kushukuru na kuomba kuendelea vyema ktk utafutaji wake,haijalishi anamuomba MUNGU au mizimu vyovyote lakini lazima hiyo ndiyo ilikua adhima yake.
Huyo jamaa sio masikini kitambo sana kabla hata hajauza hayo mawe kwa serikali.
Kuangusha ng'ombe ni utaratibu wa siku zote wa kimila.
naangusha mataga daily.Vp na wewe hauna utaratibu wa kuangusha ng'ombe?
Vp na wewe hauna utaratibu wa kuangusha ng'ombe?
Sisi tunaangusha wanawake kitandani hayo mengine hatuyawezi