๐๐๐๐๐Bila Rais Magufuli kupiga ukuta asingekuwa bilionea
we jamaa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐Bila Rais Magufuli kupiga ukuta asingekuwa bilionea
Kafara la ng'ombe sita damu yake inatosha kabisa kwa miaka 2 mfululizo bila kufanya tenaWakuu,
Bilionea wetu leo kafanya sherehe kubwa ya kuuaga umaskini na wanakijiji, pamoja na waalikwa wengine wamekula, ambapo ngโombe sita zimeanguka na mbuzi kumi
Waandishi wa habari wa Millard na Global wamebeba wali kwenye mashati ya na kusahau vipaza sauti ambavo vimetunzwa kwa mwenyekiti wa kijiji
Ni sehemu muhimu ya kafaraVile vile wimbo maalumu wa kumsifu umeimbwa na umezinduliwa leo
Hujui kinachoendelea pale mirelani..Bila Rais Magufuli kupiga ukuta asingekuwa bilionea
Unamjua jiwe au unamsikia,uliza wenye maduka ya kubadilishia pesa walichofanywaMabilionea wa enzi na enzi mbona wao hawafanyi sherehe, Saniniu anatumika kisiasa ili kuutangaza "wema" wa CCM huku akiwa hajui kuwa hiyo hela aliyolipwa hailingani na thamani ya hayo mawe.
Kwa kweli kaibiwa na CCM Kisha anafanya sherehe huu ni ujinga tu, angekuwa sio mjinga angekataa kuibiwa (kuiuzia CCM hayo mawe) ila kwa ujinga wake kupigwa bao
Sherehe ndogo sana hiyo,wamasai sherehe zao ni ngombe 30 kuendelea tena yale madume yaliyonona ndio huchinjwaDuuuuuiih aseeeeeeh noumer mweeeeeh
Heeeeeeeh makubwaaaaaah lolSherehe ndogo sana hiyo,wamasai sherehe zao ni ngombe 30 kuendelea tena yale madume yaliyonona ndio huchinjwa